functional
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 732
- 772
Message…habari zenu bwana jf, niende moja kwa moja kwe mada, kiukweli nimekuwa na huyu binti kwa muda kama miezi saba hivi tatizo hafiki kileleni hata nikidum kifuan kwa masaa atakuwa anatatizo gan? naomben ushauri wapendwa.