Asu tz
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 336
- 86
Habar wana JF?
Samahan wakuu natumia laptop aina ya Toshiba satellite C855D - S5303. Tatizo lake kubwa unapoiwasha hailet ile option ya kuboot wala hakuna neno lolote linalotokea zaid ya starting window. Lengo niweke new window msaada wakuu window iliyopo inanisumbua....
Samahan wakuu natumia laptop aina ya Toshiba satellite C855D - S5303. Tatizo lake kubwa unapoiwasha hailet ile option ya kuboot wala hakuna neno lolote linalotokea zaid ya starting window. Lengo niweke new window msaada wakuu window iliyopo inanisumbua....