
- Joined
- Dec 10, 2011
- Messages
- 323
- Likes
- 55
- Points
- 45

Asu tz
JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011



Habar wana JF?
Samahan wakuu natumia laptop aina ya Toshiba satellite C855D - S5303. Tatizo lake kubwa unapoiwasha hailet ile option ya kuboot wala hakuna neno lolote linalotokea zaid ya starting window. Lengo niweke new window msaada wakuu window iliyopo inanisumbua....
Samahan wakuu natumia laptop aina ya Toshiba satellite C855D - S5303. Tatizo lake kubwa unapoiwasha hailet ile option ya kuboot wala hakuna neno lolote linalotokea zaid ya starting window. Lengo niweke new window msaada wakuu window iliyopo inanisumbua....