Piga mangumi tu mpaka atoke jasho,ukienda police utakua na ushahidi wa maandishi au?maana atakuluka kua hujampa simu na unamsingizia kutaka kumtapeli,so cha kufanya kama una ubavu zaidi yake muite pia sehemu tulivu mko peke yenu,mfinye kama Tyson alivyowahi kufinywa na Evanda,mpe ki Jet Lee na ki Jack Chain mpaka akome then kanunue simu nyingine