Msaada: Jamaa kanitapeli simu baada ya kuweka leani kwake.

JITABOY

JF-Expert Member
Sep 2, 2013
254
31
Nataka nikamshtaki jamaa mmoja baada ya kumpa simu yangu leani kwa elfu20.

Akaniambia angetoka na kurudi baada ya cku kumi, lakni jamaa alikaa hadi cku 30.Alipo fika jamaa hakuwa na cm zaidi ya hapo nikaambulia swaga za kila cku.

Na risit ya ile cm ninayo, nataka nikamshtaki ili anilipe cm yangu ntafanikiwa? je nianzie polisi au ofisini? wakuu? naomba msaada wa kisheria.
 
Piga mangumi tu mpaka atoke jasho,ukienda police utakua na ushahidi wa maandishi au?maana atakuluka kua hujampa simu na unamsingizia kutaka kumtapeli,so cha kufanya kama una ubavu zaidi yake muite pia sehemu tulivu mko peke yenu,mfinye kama Tyson alivyowahi kufinywa na Evanda,mpe ki Jet Lee na ki Jack Chain mpaka akome then kanunue simu nyingine
 
Piga mangumi tu mpaka atoke jasho,ukienda police utakua na ushahidi wa maandishi au?maana atakuluka kua hujampa simu na unamsingizia kutaka kumtapeli,so cha kufanya kama una ubavu zaidi yake muite pia sehemu tulivu mko peke yenu,mfinye kama Tyson alivyowahi kufinywa na Evanda,mpe ki Jet Lee na ki Jack Chain mpaka akome then kanunue simu nyingine
tatzo linanizdi suri halfu lijamaa nilakgoma mkuu! linaweza kuwa lina kinkuti na vidono nka kwama.
 
tatzo linanizdi suri halfu lijamaa nilakgoma mkuu! linaweza kuwa lina kinkuti na vidono nka kwama.
Basi we liite uwe na kabegi kamejaa mawe na rungu,unalilainisha na mawe likiinama tu kusikilizia maumivu unachomoa rungu,mpaka likuamkie shikamoo ndo unaliacha
 
Leani ndo aina ya simu?itakuwa feki tu hyo mwachie afiki nayo mbali
 
"leani" ni lugha za watu waloishia lasaba japo walisoma shule za bure.
Nakushauri urudi MEMKWA,ulete lugha fasaha ili ujibiwe kwenye kijiwe hiki cha wasomi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom