Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Migration Gwanda zao pia kali sana

Hivi hao polisi na majeshi mengine ya wizara ya ndani si miezi 6 mkuu mafunzo ?

Maana hao polisi waje Fasta wasituchomeshe mahindi mpka mda huu toka mwaka jana miezi sita bado tu kozi gani hio isiyoisha
Immigration walinikataa ata usaili sijaitwa na vigezo nilikuwa navyo ..haya maisha bhna
 
Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum

Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini


All the best wadau
Huyu mwamba tulikuwa naye kwenye huu Uzi alikuwa na mchango wake pia ..jamaa Mungu amasaidie amalize kozi salama .
 
Huyu mwamba naye yupo kichakamiba huko nadhani..god bless him/her
wanangu tutawanyike kutafuta connection.kutoboa kavu kavu uwe unabahati sana.wote mnajua wenzetu wengi wapo kozini.cc pekee ndio tumebaki na tusipo chomoa kwenye huu utawala wa mama ngumu sana kuja kupata upenyo tena
 
Back
Top Bottom