NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
a a a siifungui hapa wataiona watu,,,, bora nikajifiche ndani,,,,na mwaka ulikuwa verry perfect kwangu ntafurahi zaidi nikisikia kwako pia ulikufikia bila matatizo....,
mmmhhh mi nilizani utafungulia hapa kila mtu aone hahahah lol
nway vipi lakini mwaka wako umeanzaje???
samahani sana nimechelewa kukujibibu PM yako ..
leo ndo narudi huku kwa wataalum..
mambo yanaendeleaje???