Msaada hiki ni kifaa gani nimepewa

Msaada hiki ni kifaa gani nimepewa

Umepewa au umeiiba? maana sielewi unapewaje kitu ukielewi??
 
Kinaongeza nguvu za kiume ,chemsha unywe supu kwa siku mara tatu,asbh mchana na jioni
 
hio ni hard disk lakini ni ya ide,

macover yapo kuifanya iwe external bei inarange 10,000 hadi 15,000, ila ukumbuke ni ide na sio sata, hard disk nyingi ni sata hivyo lazma useme ukiwa dukani.
msaada zaidi mkuu nini tofauti ya hizo ide na sata? .... na endapo kuna issue ya ubora ... ni ipi bora zaidi?
 
Hiyo ni computer mpakato...zinatumika sana vitani
 
msaada zaidi mkuu nini tofauti ya hizo ide na sata? .... na endapo kuna issue ya ubora ... ni ipi bora zaidi?
hio IDE ni ya kizamani na SATA ni mpya, ni vyema ukawa na sata kwa sasa hivi na pia si rahisi kukuta laptop au desktop mpya inatumia IDE.

tofauti zake za muonekano ni connector
ide_vs_sata_drive.png


hio IDE ina speed hadi 133mbps wakati SATA inaenda hadi 6gbps
 
Kiongozi, ni Scylla hiyo. Mtafute General au T-bag upige mpunga wa maana.
 
Wewe umeiba pasipo kujua kazi yake kama ungepewa ungemuuliza aliyekupa sometimes tuna wizi wa kijinga utaibaje kitu ambacho wewe kuitumia hujui wala kazi yake

Ujinga mzigo
 
hio IDE ni ya kizamani na SATA ni mpya, ni vyema ukawa na sata kwa sasa hivi na pia si rahisi kukuta laptop au desktop mpya inatumia IDE.

tofauti zake za muonekano ni connector
ide_vs_sata_drive.png


hio IDE ina speed hadi 133mbps wakati SATA inaenda hadi 6gbps
Msaada chief kuna simu anatumia b-mkubwa wangu,nikiweka mobile data on haitumi wala kupokea info yoyote whatsap,but nikitumia wifi tatizo linaisha kwa maana nafanya mawasiliano kama kawaida,hili tatizo lina siku mbili nime update whatsap to the latest version but tatizo liko pale pale,apps zingine zote zimafanya kazi
 
Kwani aliyekupa hakukueleza matumizi yake nawe ulipokea tu bila hata kuhoji?
 
Msaada chief kuna simu anatumia b-mkubwa wangu,nikiweka mobile data on haitumi wala kupokea info yoyote whatsap,but nikitumia wifi tatizo linaisha kwa maana nafanya mawasiliano kama kawaida,hili tatizo lina siku mbili nime update whatsap to the latest version but tatizo liko pale pale,apps zingine zote zimafanya kazi
angalia setting za internet kama zipo sawa,

nenda setting halafu kwenye wireless and network click more, chagua mobile network halafu chagua acess point name, niandikie ulichokiona hapo
 
Nachukia sana hii tabia ya watu, kujibu wasichokijua au masihara kwenye jukwaa hili, wakati majukwaa ya umbea na ujingaujinga kama huo yako. ``chit chat`` kwanini msiende huko? wacheni watu wanaotaka kujifunza wajifunze kupitia jukwaa hii. Kwa ujinga huu mnasababisha hata watu waliokuwa wanatoa nyuzi za maana hawatoi siku hizi.
Nikirudi kwenye maada hiyo ni hard drive ide, sema uwezo wake wa kuifadhi vitu ni mdogo 10GB, ilikuwa inatumika kwenye computer za zamani, ukizingatia kwa kwa sasa kuna mpaka 2TB. Kwa sata hard drive ndiyo zinazotumika sana kuliko ide.
 
Back
Top Bottom