SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Mkuu hapa ndipo tulipo fika kwasasa,tatizo kubwa ni ELIMU na KUTOJITAMBUA, majukwaa yapo mengi na kila moja lina dhana yake lakini yamevamiwa, msaada tena hakuna ni matusi, mizaha, kutuhumiana, na kejeli. Jukwaa letu limepoteza mvuto kabisa. Wajuzi wengi wametoweka sio kama zamani.Nachukia sana hii tabia ya watu, kujibu wasichokijua au masihara kwenye jukwaa hili, wakati majukwaa ya umbea na ujingaujinga kama huo yako. ``chit chat`` kwanini msiende huko? wacheni watu wanaotaka kujifunza wajifunze kupitia jukwaa hii. Kwa ujinga huu mnasababisha hata watu waliokuwa wanatoa nyuzi za maana hawatoi siku hizi.
Nikirudi kwenye maada hiyo ni hard drive ide, sema uwezo wake wa kuifadhi vitu ni mdogo 10GB, ilikuwa inatumika kwenye computer za zamani, ukizingatia kwa kwa sasa kuna mpaka 2TB. Kwa sata hard drive ndiyo zinazotumika sana kuliko ide.
Natamani ningekuwa moderator watu wangekula ban za 30yrs.
Majukwaa ya mizaha, utani nk yapo lakini....
Aaaghaaaa Ngoja tu ninyamaze.
Heshima kwenu great thinkers wote mnao zingatia utaratibu wa jf.