Msaada hiki ni kifaa gani nimepewa

Msaada hiki ni kifaa gani nimepewa

yilima jerad

Member
Joined
Jan 16, 2016
Posts
59
Reaction score
25
1482818819886.jpg
1482818829399.jpg
1482818837812.jpg
1482818849061.jpg
 
Mr mushi samahani je ndo inayotumika kama external?
hio ni hard disk lakini ni ya ide,

macover yapo kuifanya iwe external bei inarange 10,000 hadi 15,000, ila ukumbuke ni ide na sio sata, hard disk nyingi ni sata hivyo lazma useme ukiwa dukani.
 
Hicho kifaa kinatumika jandoni... Kinaitwa kisu cha ngariba. Kwani we bado kutahiriwa? 🙁🙁🙁
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom