Troublemaker JF-Expert Member Jun 8, 2015 19,888 38,526 Nov 22, 2020 #221 Ingekuwa mimi hata bila kugawana tu. Nilivyo na roho nyepesi ningemuachia vyote. Pesa mali zinatafutwa hawakawii kwenda kwa waganga kutoa roho yako.
Ingekuwa mimi hata bila kugawana tu. Nilivyo na roho nyepesi ningemuachia vyote. Pesa mali zinatafutwa hawakawii kwenda kwa waganga kutoa roho yako.