mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
wakuu nahitaji kufahamu, namna mbalimbali za kufnya ili nisajili biashara
- Nina jina la biashara, nataka nilimiliki kabisa
- biashara yangu inamalengo mapana kwa maana itaanza kidogokidogo kutokana na hali ya mtaji kuwa mdogo
- nategemea ije kuwa na na matawi ili nitumie jina moja na matawi au niite vitengo. kwa mfano ikiwa ni afya nikaita Tanzan health services Enterprises kama jina kuu, baadae nataka niwe na Phermacy, Labaratory, Dispensary,nk
- Kwa mfano huo hapo juu ili nisajili jina la biashara yangu nifanyeje?
- huu ni mfano tu si biashara halisi.
- TRA wakitaka mapato naanza kulipa soon nikianza