Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,351
- 1,282
Wakuu Mimi binafsi ndio kwanza najitafuta na kila anayefanya kazi ana ndoto za kuwa mtu mkubwa mbeleni huko ndivyo ilivyo na kwangu.
Mimi nataka nisajili jina la biashara mbeleni kuwa hata kampuni Mungu akijalia ila nataka nitumie TIN number ya Mama yangu mimi nisimame kama mrithi.
Je, kuna vitu nitakosa kisheria kwa baadae labda mikopo na baadhi ya kuingia mikataba ikitokea?
Mimi nataka nisajili jina la biashara mbeleni kuwa hata kampuni Mungu akijalia ila nataka nitumie TIN number ya Mama yangu mimi nisimame kama mrithi.
Je, kuna vitu nitakosa kisheria kwa baadae labda mikopo na baadhi ya kuingia mikataba ikitokea?