Msaada: Gono isiyopona kikamilifu

Msaada: Gono isiyopona kikamilifu

Inawezekana unapata maambukizi ya tena na tena. Lazima utibiwe na huyo mwenza wako (au wenza wako kama unao wengi).

Bila ya hivyo ugonjwa hautapona.
Amejieleza hapo juu kuwa hajawahi kukutana na Mwanamke tangu alipoanza kuugua.
 
Ona sasa starehe ya dakika chacha inakutesa miezi

una bahati hujaukwaa ule wa kumeza vidonge maisha yako yote.

Dunia imebadilika sana, hizi simu na miamala ni ngumu sana kukuta binti ana mtu moja, Namba anaombwa asubuhi, muamala anatumiwa mchana, jioni anatoa mzigo.
Kabisa hasa wanafunzi, hao ni carriers wakubwa sana wa magonjwa ya Ngono.
Unaweza kukiona kidogo, na kizuri kwa nje, kumbe kwa ndani kameoza.
 
Utapona tu.Dawa zikidunda watakuchoma ceftriaxone injection. Ila ndo uache kabisa ngono zembe. Ukipata mwanamke mpime wote magonjwa yote ya ngono,baada ya hapo muwe waaminifu wote wawili. Mshukuru Mungu Gono ina dawa,imagine ingekuwa HIV au hepatite B.
Hapoo kwenye kupima...saa nne usiku umeshapiga kadhaa kwa msaada wa Dada Muhudumu...saa unaondoka akakusindikiza kupima wapi tena jameni?.
 
😂😂😂 Unyama w ETS 2 na map mod ya tz huna habar
mod nnayo ya Mario map mzee, truck ni Volvo FH 16-2012, 10x4 yenye midlift na taglift, iko na 50,000 N-m Torque

ets2_20221129_211549_00.png
 
Ni mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbalimbali lakini ugonjwa huiponi.

Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.

Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidogo nilikaa wiki moja bila dalili.

Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
Piga sindano weee power safe siku mbili tu umepona ila hongera maana ukiwa malaya na hujawai kupata gono basi wee ni sawa na mchezaji mwenye bidii na hujawai kupata namba kwenye mech
 
Ni mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbalimbali lakini ugonjwa huiponi.

Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.

Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidogo nilikaa wiki moja bila dalili.

Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
Mkuu pole sana kwa maradhi yako ya Ghonorhea yasiyo pona kw adawa Kizungu nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
 
Power self haitokuangusha moja tu..

yaani doctor anakuambia funua mdomo na pua na anakuuliza kama umekula ukashiba

Then shoot moja waya yaani hadi kizungu zungu
 
Asanteni wote mliochangia Uzi huu, kwa hakika nimepitia kipindi kigumu Sana, Kuna siku hata usingizi nilikuwa sipati, dushe ilikondaa kama ya mtoto, kwa Sasa nawza kusema nimepona, dawa zilizokuja kuniponya ni sindano inaitwa gono (spectinomycin) moja inauzwa elfu 25 x2, na dawa nyingine inaitwa sefixime 1x1x5.

Ujumbe wangu tutumie kondomu kwa uaminifu. Mimi niliupata kwa binti mdogo tu wa chini ya miaka 20, ambaye huwezi kumdhania, unaweza kudhani haka ni katoto kumbe kameoza.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Asanteni wote mliochangia Uzi huu, kwa hakika nimepitia kipindi kigumu Sana, Kuna siku hata usingizi nilikuwa sipati, dushe ilikondaa kama ya mtoto, kwa Sasa nawza kusema nimepona, dawa zilizokuja kuniponya ni sindano inaitwa gono (spectinomycin) moja inauzwa elfu 25 x2, na dawa nyingine inaitwa sefixime 1x1x5.

Ujumbe wangu tutumie kondomu kwa uaminifu. Mimi niliupata kwa binti mdogo tu wa chini ya miaka 20, ambaye huwezi kumdhania, unaweza kudhani haka ni katoto kumbe kameoza.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Pole sana
 
tumia sindano za pawasef utanishukuru baadae. tatu tu znakata kila kitu. ila choma tano

halafu kama unatumia mlango wa nyuma acha.
ahsante
 
nje ya mada
mapunye yananisumbua nimejaribu dawa nyingi lakini bado
sijawahi ugua huu ugonjwa yaani unanifanya mnyonge sana naomba anayejua dawa anisaidie
Jaribu Griseofulvin au fika pharmacy kwa ushauri zaidi
 
Asanteni wote mliochangia Uzi huu, kwa hakika nimepitia kipindi kigumu Sana, Kuna siku hata usingizi nilikuwa sipati, dushe ilikondaa kama ya mtoto, kwa Sasa nawza kusema nimepona, dawa zilizokuja kuniponya ni sindano inaitwa gono (spectinomycin) moja inauzwa elfu 25 x2, na dawa nyingine inaitwa sefixime 1x1x5.

Ujumbe wangu tutumie kondomu kwa uaminifu. Mimi niliupata kwa binti mdogo tu wa chini ya miaka 20, ambaye huwezi kumdhania, unaweza kudhani haka ni katoto kumbe kameoza.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Kaambie haka kabint kakajitibie
 
Back
Top Bottom