proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,348
- 11,228
Nenda kwa daktaro wa mifugo hasa wa mbwa ndio wa dawa Chanzo cha huu ugonjwa ni mbwa. UTAKUJA KUNISHUKURU.
Achana nazo maana zitaendelea kukuletea sumuNi mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbalimbali lakini ugonjwa huiponi.
Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.
Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidogo nilikaa wiki moja bila dalili.
Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
pole mzee, nenda maabara kubwa wakufanyie kipimo cha culture cha hyo discharge unayotoa kisha mpelekee docta majibu yako, akupe dawa stahiki ya wadudu walioonekana huko.Ni mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbalimbali lakini ugonjwa huiponi.
Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.
Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidogo nilikaa wiki moja bila dalili.
Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
Kabisa hasa wanafunzi, hao ni carriers wakubwa sana wa magonjwa ya Ngono.
Unaweza kukiona kidogo, na kizuri kwa nje, kumbe kwa ndani kameoza.