Mr Mose
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 368
- 524
Ni mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbalimbali lakini ugonjwa huiponi.
Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.
Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidogo nilikaa wiki moja bila dalili.
Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.
Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidogo nilikaa wiki moja bila dalili.
Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.