Msaada: Gono isiyopona kikamilifu

Msaada: Gono isiyopona kikamilifu

umenikumbusha nina mbwa wangu wa ulinzi alitoroka wakati geti lipo wazi kapata gono ila siku tambua mda mrefu mpaka dalili zilipofikia kutoa uchafu sehemu za siri.nimepiga sindano mpaka nimekata tamaa .ila steji ilipofika ni bahati nasibu
 
Uzinzi noma sana, bora dronedrake ameamua kua mwanachama hai wa CHAPUTA maana haina Gono

Ushauri: Tumia mizizi, tafuta wazee wa kale watakuelekeza dawa za asili zinazotibu hilo tatizo au fika hospital muone daktari bingwa wa hayo magonjwa ya zinaa, kuna ndugu yangu kitombi nae aliwahi kuukwaa ulimtesa sana akaja akapona ila ukiwa kitombile always utakua kitombile Jamaa hadi kesho ni kitombile aliambukizwagwa hadi tetekuwanga akawa ana malengelenge mwili mzima alafu ni mweupe sasa alivyokua mwekundu, baada ya kupona akaendeleza mchakato wanamuita FISI
Ha ha once kitombile always kitombile
 
gonoria ni dalili kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
tafadhali kesho njoo hospitali upime na upate ushauri nasaa.

vijana kwa wasichana acheni ngono mtakwisha na kudhoofika kwa maradhi.
starehe ya dk.5 au 10 utajutia maisha yako yote.
Dr uchwara
Mpiga dili tunakujua
Ngoja ninyamaze

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom