bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,840
Inawezekana unapata maambukizi ya tena na tena. Lazima utibiwe na huyo mwenza wako (au wenza wako kama unao wengi).
Bila ya hivyo ugonjwa hautapona.
Bila ya hivyo ugonjwa hautapona.
Kasema tangu aanze dozi hajakutana na mwenza wake.Inawezekana unapata maambukizi ya tena na tena. Lazima utibiwe na huyo mwenza wako (au wenza wako kama unao wengi).
Bila ya hivyo ugonjwa hautapona.
Heh unataka uwe wa kwanza kwenye ukoo wako kutumiwa buku bee eatel
Ha ha once kitombile always kitombileUzinzi noma sana, bora dronedrake ameamua kua mwanachama hai wa CHAPUTA maana haina Gono
Ushauri: Tumia mizizi, tafuta wazee wa kale watakuelekeza dawa za asili zinazotibu hilo tatizo au fika hospital muone daktari bingwa wa hayo magonjwa ya zinaa, kuna ndugu yangu kitombi nae aliwahi kuukwaa ulimtesa sana akaja akapona ila ukiwa kitombile always utakua kitombile Jamaa hadi kesho ni kitombile aliambukizwagwa hadi tetekuwanga akawa ana malengelenge mwili mzima alafu ni mweupe sasa alivyokua mwekundu, baada ya kupona akaendeleza mchakato wanamuita FISI


Heh unataka uwe wa kwanza kwenye ukoo wako kutumiwa buku bee eatel



Dr uchwaragonoria ni dalili kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
tafadhali kesho njoo hospitali upime na upate ushauri nasaa.
vijana kwa wasichana acheni ngono mtakwisha na kudhoofika kwa maradhi.
starehe ya dk.5 au 10 utajutia maisha yako yote.
Gonorrhea ni dalili nayo aisee hio leseni yako ni leseni ya ujingagonoria ni dalili kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
tafadhali kesho njoo hospitali upime na upate ushauri nasaa.
vijana kwa wasichana acheni ngono mtakwisha na kudhoofika kwa maradhi.
starehe ya dk.5 au 10 utajutia maisha yako yote.
Yes mkuu hawaachi wataumwa magonjwa ya ajabu ila kuacha kwao ni kitu kigumu, mbaya ni mwajiriwa wa Serikalini na ameoa ila mkewe ni mvumilivu sijapata kuona dunia nzimaHa ha once kitombile always kitombile![]()
Mwenza wake wa halali sawa, wa nje je?Kasema tangu aanze dozi hajakutana na mwenza wake.
Njoo pm. Uko mkoa ganiSawa mkuu nipe namba nimeteseka mno
Rudi hospital atakuandikia sindano.Ndio dozi ya sindano ni ushauri wa daktari baada ya kupima
Ila hata kama haujakutana nae,je umemjulisha kuwa una gono? ILI NAE AKATIBIWE NA AWAJULISHE WENZAKE PIA WATIBIWE.Sijakutana naye Wala mwanamke mwingine yoyote
maradhi yote ya zinaaa gonoria, kaswende na kisonono mara nyingi huambatana na ugonjwa wa ukimwi.Gonorrhea ni dalili nayo aisee hio leseni yako ni leseni ya ujinga