Mimi sio daktari lakini nafikiri inabidi wakufanyie kipimo cha Culture and Sensitivity kwanza kwenye maabara ili kujua dawa ipi itakuponyesha. Kwa hiyo wakikuandikia dawa, una uhakika wa kupona.Nlimjulisha pia, kwa Sasa najihangaikia kivyangu
Mimi sio daktari lakini nafikiri inabidi wakufanyie kipimo cha Culture and Sensitivity kwanza kwenye maabara ili kujua dawa ipi itakuponyesha. Kwa hiyo wakikuandikia dawa, una uhakika wa kupona.Nlimjulisha pia, kwa Sasa najihangaikia kivyangu
Subiri?Tumia SHUBIRI utanishukuru
SHUBIRI au aloveraSubiri?
Comred achana na wakina wema mbona zipo mali safi sana kwenye hub 😂😂 Wema ule wembamba wake hata mzuka unapotea mzee.4 times a phucking day, safi sana, nna pics kadhaa za wema/uwoya, maisha safi kabisa
Acha watu wale maisha wewe! Unafikiri ni ukimwi tu ndiyo unaoua!!gonoria ni dalili kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
tafadhali kesho njoo hospitali upime na upate ushauri nasaa.
vijana kwa wasichana acheni ngono mtakwisha na kudhoofika kwa maradhi.
starehe ya dk.5 au 10 utajutia maisha yako yote.
Sio ndo useme ni symptoms sasa chiefmaradhi yote ya zinaaa gonoria, kaswende na kisonono mara nyingi huambatana na ugonjwa wa ukimwi.
hivyo unapo kuwa na maradhi kama hayo unashauriwa upime na vvu.
Uko mkoa gani?Ni mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbali mbali lakini ugonjwa huiponi.
Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.
Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidgo nilikaa wiki moja bila dalili.
Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
picha za kipindi kile yupo thick ndiyo ninazo, ule wembamba hapanawembamba wake
Utapona tu.Dawa zikidunda watakuchoma ceftriaxone injection. Ila ndo uache kabisa ngono zembe. Ukipata mwanamke mpime wote magonjwa yote ya ngono,baada ya hapo muwe waaminifu wote wawili. Mshukuru Mungu Gono ina dawa,imagine ingekuwa HIV au hepatite B.Nlimjulisha pia, kwa Sasa najihangaikia kivyangu
Ukimwi bado ni ugonjwa hatari duniani.Acha watu wale maisha wewe! Unafikiri ni ukimwi tu ndiyo unaoua!!
Piga ile sindano inaitwa PANADUU..
nasikia inauma dunia nzima.ukipigwa hizo tako mbili hata kukaa hutaweza kwa siku 2
Ila vijana wa jf😂😂😂 , mwingine kule kashindwa kuingiza huku napo gono haiponi duuu😂😂😂😂Ni mwezi mmoja umepita Sasa tangu nikutwe na gonorrhea, nimetumia dozi mbali mbali lakini ugonjwa huiponi.
Dawa nilizo tumia ni 1. Azuma na metronidazole, baada ya wiki nikashauriwa kutumia azuma na kidonge flani kimoja sikikumbuki jina, 2.
Kuna dawa zinaitwa doxy na ciproflaxin nazo hazikusaidia kwa maana unaanza dozi baada ya siku 2 usaha unaanza Tena kutoka 3. Nlitumia dawa ya sindano 5 zinaitwa certriaxone angalau kidgo nilikaa wiki moja bila dalili.
Jana usiku dalili zmeanza Tena. Tangu niugue sijawahi kukutana na mwanamke yoyote.
Azuma iko poa sana, ila ni vizuri uende hospitalkuna kipindi nilikuwa na UTI hospitali moja private wakaniambi nichome sindano kwa siku 4 bei niliambiwa 100,0000 nikagoma wakanipa vidonge fulani hv vikubwa vipo kwenye mfuko wa silver 35,000
Sasa kuna mtu akaniambia kuna vidonge vya Azuma na bei haizidi 3000na inatibu vizuri UTI. Sasa wataalamu nisaidie hii imekaaje utofauti wa bei na ufanisi wa kutibu ?