Msaada: Girlfriend wangu ka disco chuo

MECH wameliwa madogo 15 naskia, mpaka IE wameliwa vichwa
Nimesikia Mzee afu me ndo naingia hiyo second year. ..hadii nshaanza kuogopa, nasikia kuna wanaume wawilii Tesha na Msemwa ni hatriii tupu

Nokia ya Torch
 
Nimesikia Mzee afu me ndo naingia hiyo second year. ..hadii nshaanza kuogopa, nasikia kuna wanaume wawilii Tesha na Msemwa ni hatriii tupu

Nokia ya Torch
ukiingia kwa tahadhari huwezi kuliwa kichwa, ukirelax kidogo tu wanakula kichwa, kakaze dogo 15 sio mchezo
 
Wala usiwe na stress mkuu. Sa msichana anasoma makinikia unataka awe romantic? Huyo kafeli kwa stress zake sema kakuona chambo. ILa mtoe tuu maana hamna namna.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Ushauri mujarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…