biasharaTz
Senior Member
- Apr 14, 2016
- 163
- 79
Habari zenu
Naomba msaada hasa wasafirishaji wa mizigo kwa njia ya barabara au wenye malori naomba kujua gharama za
1. Road Toll 2. City Council 3. Na zozote zinazotakiwa kulipwa kwa lori kuingia nchini Kenya. Mpaka nataka lori lipite ni wa Horohoro kuingia Mombasa. Mimi ni msafirishaji wa mzigo tu hivyo masuala ya ushuru wa mzigo sihusiki nayo. Nahitaji kupata gharama za kulipia lori tu
Wasalam
Naomba msaada hasa wasafirishaji wa mizigo kwa njia ya barabara au wenye malori naomba kujua gharama za
1. Road Toll 2. City Council 3. Na zozote zinazotakiwa kulipwa kwa lori kuingia nchini Kenya. Mpaka nataka lori lipite ni wa Horohoro kuingia Mombasa. Mimi ni msafirishaji wa mzigo tu hivyo masuala ya ushuru wa mzigo sihusiki nayo. Nahitaji kupata gharama za kulipia lori tu
Wasalam