Msaada: Gharama ya kupandikiza mtoto/mimba!

Hiyo huduma ha IVF inapatikana "Mwanza Hospital" ipo mtaa wa Rufiji, karibu na uwanja wa Mbugani Shule ya Msingi. Bei ni around 10M to 15M. Kwa Contact nichek PM

Ni hizi hizi shahawa ndio ghali hivyo? Samahn maana najiona mshamba
 
Hizo no nimeshindwa kuzisoma!
Mi nakushauri Kama pesa unayo nenda Nairobi, nshawaona watu wawili waliofanikiwa kwa njia hiyo walifanyia huko, na gharama ni million 17 ila gharama hiyo inakuwa pamoja na accommodation Kama hauna sehemu ya kufikia Kama unapo pa kufikia inapungua, na failure rate yake ni ndogo Sana ukilinganisha na hapa bongo, ukizingatia unalipa pesa ndo unafanyiwa hata ikifail pesa hairudishwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…