Msaada: Ghafla uume wangu hausimami

POLE KIONGOZI

....PUNGUZA HOFU ---JIAMINI KUA UNAWEZA CHEZA BALL VZR
2.ulajia angalia mfumo wa ulaji
3, fanya mazoezi mepesi
4 jipe mda wakutosha kupumzika
 
Kama tatizo bado linakusumbua njoo pm nikupe maelekezo ya tiba
 
Hahahahaha eti mke ndo nimemuoaa.

Usijali,, je kabla ya hiyo hali mlikua mnajamiiana kila mara/siku??/

Kama ndio nilazima upate huo uhanisi unakuaga niwamuda mfupi .

Fanya mazoezi
Kunywa maji
Kula well balanced diet
Matunda .

Jipe muda ,,Siku ukimkaza atakuambia "Asante Baba".
Ha ha ha eti asante baba ,hiyo ni Psychological impotence ni kawaida sana especially ukiwa depressed au unakosa usingizi na fears,unrest etc
 
Pakaza pilipili kwenye kichwa cha uume utaona matokeo mbashara sana mwezako anatakiwa awe jirani (ukibaka miaka 30) mm simo
 
Ghafla nimepatwa tatizo uume wangu hausimami, tangia utotoni sijawahi kupatwa na tatizo ili nilikua nikifanya tendo napiga goli 5 za kuunganisha bila kupumzika, nimeoa mwezi wa 8 mwaka jana mke wangu nilikua nampatia bakora za kutosha bila shida kabisa kifupi nilikua na nguvu nyngi tu.

Tatizo limeanza kama wiki 1 imepita ghafla uume haukusimama siku nzima,
kesho yake ikasimama lakini haikua na nguvu sana, kiasi kwamba nikijaribu kuweka inalala tena.

Nisaidieni mke wangu naona anashinda bila raha nyumbani sijui hata anachowaza mke wangu, hata mimi pia nina mawazo mno ukizingatia mke ndo nimemuoa jamani.

Mwenye kujua nianzie wapi anisaidie.
Bao tano hizo unaunganishaje au ni zile bao za dakika moja moja? So dakika tano una bao tano

Acha pombe, acha stress, fanya mazoezi, tumia asali mbichi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom