Aahh basi hamna shida ndugu .Fanya km nilivyokushauri ,, alafu ukiwa unaendelea na nilokuambia ,usimguse guse mkeo kisex ,maana utajikuta unapiga kamoja na unakoswa amanKila siku
Asante mbona tatzo limenpata ghafra sanaKaka,
Punguza mawazo bado una nguvu nyingi mno, kuanzia sasa uwe unafanya mazoezi madogo madogo, kula ndizi za kuiva kuanzia 3 na kuendelea , na kuanzia muda huu navyokushauri acha kunywa maji ya baridi au kinywaji chochote cha baridi, kunywa maji mengi, pia mara kwa mara matikiti maji. Tafadhali usikose kula ndizi za kuiva kila siku na maji mengi na kutafuna tangawizi kila siku mb..oo yako itakuwa imara na kufanya vizuri kuliko hata mwanzo.
Kama una swali unaweza uliza!
Huyu jmaa mwongo labda km anatumia Viagra bao 5 kuunganisha uongoMimi pia ni mwanaume lakini hilo la goli 5 za kuunganisha bila kupumzika huo ni uongo,inaonesha wewe uume wako haujawahi kusimama kabisa tangu ukiwa mtoto
Hahaha dah nilitafakari nikakosa cha kusema kuhusu bao tano nilichokuwa nawaza kukisema nilisita labda Mimi ndo nina matatizo kumbe na nyinyi mmeonaMimi pia ni mwanaume lakini hilo la goli 5 za kuunganisha bila kupumzika huo ni uongo,inaonesha wewe uume wako haujawahi kusimama kabisa tangu ukiwa mtoto
na kama pia anatumia dawa za kuongeza nguvu pia aachefanya mazoez na ule ndizi na maparachichi sana maana yanaongeza libido (sex drive)
pia uache tabia hatarishi mfano ulevi,kuvuta sigara au bangi,kupiga punyeto na upunguze kua na msongo wa mawazo.
Kula matunda Mkuu na ugali wa dona na mboga za majani, , na tafuta magimbi wife ayaunge na Nazi mlo wa week nzima asubuiGhafla nimepatwa tatizo uume wangu hausimami, tangia utotoni sijawahi kupatwa na tatizo ili nilikua nikifanya tendo napiga goli 5 za kuunganisha bila kupumzika, nimeoa mwezi wa 8 mwaka jana mke wangu nilikua nampatia bakora za kutosha bila shida kabisa kifupi nilikua na nguvu nyngi tu.
Tatizo limeanza kama wiki 1 imepita ghafla uume haukusimama siku nzima,
kesho yake ikasimama lakini haikua na nguvu sana, kiasi kwamba nikijaribu kuweka inalala tena.
Nisaidieni mke wangu naona anashinda bila raha nyumbani sijui hata anachowaza mke wangu, hata mimi pia nina mawazo mno ukizingatia mke ndo nimemuoa jamani.
Mwenye kujua nianzie wapi anisaidie.