ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
punguza mawazo mkuu, kama huwa unacheki sana movies za ngono acha, kama ni mnywaji wa pombe jipe likizo kunywa sana maji, jipe siku 5 za kuwa unalala mapema labla ya sa4 uwe kwa bed na kuamka sa12 asubuhi au sa1 kabisa.
Ukiamka tu kunywa maji, zoezi kidooogo then endelea na kazi zako, mzeee si siku 5 tu hizo utaleta mrejesho
Ukiamka tu kunywa maji, zoezi kidooogo then endelea na kazi zako, mzeee si siku 5 tu hizo utaleta mrejesho