Anyway, siamini kama naweza badilisha koromeo la mtu miss wa urembo nikamwekea mbeba vyuma vizito eti ili ale chakula kidogo na ikafanikiwa, bora kama angekuwa naumwa unaokoa maisha, ila unabadili bure bure tu? Kuogopa gharama ya mafuta?
Warning: Mie sio dokta wala fundi gari, natumia Phd ya uraiani tu