A
Anonymous
Guest
Habari wanajamii . Naomba kutoa taarifa na kuomba msaada kwa yeyote atakaye liona gari husika anitaarifu. Gari Hilo limeibiwa jijini Mbeya na fundi makenika aitwaye Ibrahim Mwakyusa. Ameiba gari katika mazingira ya kulitengeneza.
Mwizi wa gari ni Ibrahim Mwakyusa mwenye namba 0752895006 Ibrahim Mwakyusa, ni fundi makenika hapo Mbeya Jijini. Baada ya kuiba gari Hilo alizima simu akatoweka.
Hivyo naomba yeyote atakaye liona gari Hilo Prado TX nyeupe yenye Number plate T 461 BPH ataarifu kituo Cha polisi karibu yake. Pia anaweza kutoa taarifa hapa kwenye huu Uzi tutawasiliana.
Asanteni.
Mwizi wa gari ni Ibrahim Mwakyusa mwenye namba 0752895006 Ibrahim Mwakyusa, ni fundi makenika hapo Mbeya Jijini. Baada ya kuiba gari Hilo alizima simu akatoweka.
Hivyo naomba yeyote atakaye liona gari Hilo Prado TX nyeupe yenye Number plate T 461 BPH ataarifu kituo Cha polisi karibu yake. Pia anaweza kutoa taarifa hapa kwenye huu Uzi tutawasiliana.
Asanteni.