Msaada: Gari limeibiwa Mbeya

Msaada: Gari limeibiwa Mbeya

A

Anonymous

Guest
Habari wanajamii . Naomba kutoa taarifa na kuomba msaada kwa yeyote atakaye liona gari husika anitaarifu. Gari Hilo limeibiwa jijini Mbeya na fundi makenika aitwaye Ibrahim Mwakyusa. Ameiba gari katika mazingira ya kulitengeneza.

Mwizi wa gari ni Ibrahim Mwakyusa mwenye namba 0752895006 Ibrahim Mwakyusa, ni fundi makenika hapo Mbeya Jijini. Baada ya kuiba gari Hilo alizima simu akatoweka.

Hivyo naomba yeyote atakaye liona gari Hilo Prado TX nyeupe yenye Number plate T 461 BPH ataarifu kituo Cha polisi karibu yake. Pia anaweza kutoa taarifa hapa kwenye huu Uzi tutawasiliana.

Asanteni.
 
Hivyo naomba yeyote atakaye liona gari Hilo Prado TX nyeupe yenye Number plate T 461 BPH ataarifu kituo Cha polisi karibu yake. Pia anaweza kutoa taarifa hapa kwenye huu Uzi tutawasiliana.
Kuna Prado ilitupita Igawa in a very rough driving speed isijekuwa ni hiyo
 
Kuwa serious mzee,umeibiwa gari huweki hata picha ya gari yako watu wafahafu jinsi ilivyo
Screenshot_20250704_164652_Samsung Internet.jpg

Guest
 
Watu kumbe Bado wanaiba magara, aisee,
Gari tunanunua gharama ila kufunga gps tracker mtu anaona ghali.
Hiyo plate number 90% haipo Tena kwenye hiyo gari
 
Nadhani ungeweka picha ya gari ingerahisisha zaidi zoezi la utambuzi. Huyo mwizi hawezi kutembea na number plate yake, hapo nina uhakika 100% number plate washabadili. Kwaiyo kuweka picha kutarahisisha kidogo.
 
Akikamatwa huyo mwizi apasuliwe kende zake zote 2 iwe mwisho wa kudinya,abaki yeye kudinywa tu.
 
Habari wanajamii . Naomba kutoa taarifa na kuomba msaada kwa yeyote atakaye liona gari husika anitaarifu. Gari Hilo limeibiwa jijini Mbeya na fundi makenika aitwaye Ibrahim Mwakyusa. Ameiba gari katika mazingira ya kulitengeneza.

Mwizi wa gari ni Ibrahim Mwakyusa mwenye namba 0752895006 Ibrahim Mwakyusa, ni fundi makenika hapo Mbeya Jijini. Baada ya kuiba gari Hilo alizima simu akatoweka.

Hivyo naomba yeyote atakaye liona gari Hilo Prado TX nyeupe yenye Number plate T 461 BPH ataarifu kituo Cha polisi karibu yake. Pia anaweza kutoa taarifa hapa kwenye huu Uzi tutawasiliana.

Asanteni.
Kama ameliiba na si kwamba amepata ajali au kama limetekwa likiwa mikononi mwake na ameuawa it's very likely liko Zambia au Malawi, mtu hawezi kuiba gari Mbeya likabaki TZ labda awe amateur.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom