MSAADA: Gari kutoa moshi mweupe (mawingu) baada ya kuwashwa

msimamia kucha

JF-Expert Member
Dec 1, 2013
616
487
Wakuu habari za majukumu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina Gari spacio new model nilipata Ajali nikapinduka nayo matairi juu baada ya kuparamia gema, haikuchukua dk kumi nikasaidiwa Gari tukainyanyua.

Engine haina mbinyo wowote isipokuwa rejeta imesogea kidogo na iliingiwa na udongo, lakini hakuna leakege, sasa ishu mashine ikawa haiwaki ukipiga starter Kama vile betri iko down ikabidi nibadili betri tatizo liko palepale.

Ikabidi nitafute fundi kucheck, tukakaanza kwa kuzungusha engine(Mannually) kucheck kama iko sawa, tukasafisha spark plug, pia tukagundua njia za air cleaner zilikuwa na oil mpaka kwenye kasha.

Baada ya kusafisha tukawasha Gari ikawaka, mwanzo ulitoka moshi mwingi sanaaaa Kama jalala linachomwa moto, lakini ikazidi kupungua mpaka kufika kidogo, sasa ukipiga resi unatoka huo moshi mweupe na Kama vimajimaji mchanganyiko wa Kama mafuta meusi.

Pia coolant inapungua sasa sijajua tatizo ni nini maana huyu fundi ananiambia oil ilichanganyika na petrol kwahiyo hiyo hali ya moshi mweupe itapita, sasa napata wasiwasii ndo mana nimekuja jamvini nipate uelewa na ushauri mzuri.

Samahanini kwa uandishi mrefu yote hii ni kujaribu kutoa taarifa sahihi.
 
Wakuu habari za majukumu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina Gari spacio new model nilipata Ajali nikapinduka nayo matairi juu baada ya kuparamia gema, haikuchukua dk kumi nikasaidiwa Gari tukainyanyua.

Engine haina mbinyo wowote isipokuwa rejeta imesogea kidogo na iliingiwa na udongo, lakini hakuna leakege, sasa ishu mashine ikawa haiwaki ukipiga starter Kama vile betri iko down ikabidi nibadili betri tatizo liko palepale.

Ikabidi nitafute fundi kucheck, tukakaanza kwa kuzungusha engine(Mannually) kucheck kama iko sawa, tukasafisha spark plug, pia tukagundua njia za air cleaner zilikuwa na oil mpaka kwenye kasha.

Baada ya kusafisha tukawasha Gari ikawaka, mwanzo ulitoka moshi mwingi sanaaaa Kama jalala linachomwa moto, lakini ikazidi kupungua mpaka kufika kidogo, sasa ukipiga resi unatoka huo moshi mweupe na Kama vimajimaji mchanganyiko wa Kama mafuta meusi.

Pia coolant inapungua sasa sijajua tatizo ni nini maana huyu fundi ananiambia oil ilichanganyika na petrol kwahiyo hiyo hali ya moshi mweupe itapita, sasa napata wasiwasii ndo mana nimekuja jamvini nipate uelewa na ushauri mzuri.

Samahanini kwa uandishi mrefu yote hii ni kujaribu kutoa taarifa sahihi.
Gari lako linaunguza coolant/ maji kwenye combustion chamber...

Gari kutoa moshi mweupe usioisha ni ishara kuwa linaunguza coolant..
 
Wakuu habari za majukumu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina Gari spacio new model nilipata Ajali nikapinduka nayo matairi juu baada ya kuparamia gema, haikuchukua dk kumi nikasaidiwa Gari tukainyanyua.

Engine haina mbinyo wowote isipokuwa rejeta imesogea kidogo na iliingiwa na udongo, lakini hakuna leakege, sasa ishu mashine ikawa haiwaki ukipiga starter Kama vile betri iko down ikabidi nibadili betri tatizo liko palepale.

Ikabidi nitafute fundi kucheck, tukakaanza kwa kuzungusha engine(Mannually) kucheck kama iko sawa, tukasafisha spark plug, pia tukagundua njia za air cleaner zilikuwa na oil mpaka kwenye kasha.

Baada ya kusafisha tukawasha Gari ikawaka, mwanzo ulitoka moshi mwingi sanaaaa Kama jalala linachomwa moto, lakini ikazidi kupungua mpaka kufika kidogo, sasa ukipiga resi unatoka huo moshi mweupe na Kama vimajimaji mchanganyiko wa Kama mafuta meusi.

Pia coolant inapungua sasa sijajua tatizo ni nini maana huyu fundi ananiambia oil ilichanganyika na petrol kwahiyo hiyo hali ya moshi mweupe itapita, sasa napata wasiwasii ndo mana nimekuja jamvini nipate uelewa na ushauri mzuri.

Samahanini kwa uandishi mrefu yote hii ni kujaribu kutoa taarifa sahihi.

Daah pole mkuu

Oil kene exhaust not a good sign at all

Nahisi piston ring zimepata shida so oil inaingia kene combustion chamber hivo gari haitakuwa na nguvu

Hiyo ni mimba hapo engine overhaul au mswaki kwa uhakika zaidi.

Haya ni maoni binafsi kutokana na experience yangu ya gari kutoa oil kene exhaust.

All in all peleka kwa fundi anaeaminika akague
 
Daah pole mkuu

Oil kene exhaust not a good sign at all

Nahisi piston ring zimepata shida so oil inaingia kene combustion chamber hivo gari haitakuwa na nguvu

Hiyo ni mimba hapo engine overhaul au mswaki kwa uhakika zaidi.

Haya ni maoni binafsi kutokana na experience yangu ya gari kutoa oil kene exhaust.

All in all peleka kwa fundi anaeaminika akague
Dah shukrani kwa ushauri mkuu.
 
Huyo fundi anyekwambia Oil imechanganyika na Petrol nina wasiwas kulingana na Muundo na utendaj kaz wa Injini.

Labda angesema Oil imejimix na Maji kulingana na hizi njia zinaenda sambamba ktk zoez zima la Cooling.

Petrol inaishia ktk combustion chamber na ktk nozzle only, haiwi exposed na Oil kirahisi..
 
Cha kufanya.. Fatilia Oil yako ina viashiria vya uwepo Maji? Pia kuna tatz la Mafuta kuingizw ktk combustion chamber yakiw Mabichi yaan IGNITION process haifanyiki vzr so inapelekea mafuta kutolew nje kwa njia ya Exhaust.. Hivyo kutokana na ukungu/masizi unawez pata mixer ya mafuta na masizi ambayo unahis ni Oil iliyochanganyikana na mafuta.

Tafuta fundi
 
Cha kufanya.. Fatilia Oil yako ina viashiria vya uwepo Maji? Pia kuna tatz la Mafuta kuingizw ktk combustion chamber yakiw Mabichi yaan IGNITION process haifanyiki vzr so inapelekea mafuta kutolew nje kwa njia ya Exhaust.. Hivyo kutokana na ukungu/masizi unawez pata mixer ya mafuta na masizi ambayo unahis ni Oil iliyochanganyikana na mafuta.

Tafuta fundi
Mkuu asante sana kwa ushauri mzuri, ntazingatia hilo.
 
Kuna Aina 3 za Moshi mkuu unatakiwa kuzijua.
1. Moshi wa rangi Nyeupe
2. Moshi wa rangi Nyeusi
3. Moshi wa rangi ya Blue
Tuanze na moshi namba moja moshi mweupe
Hii n ishara ya Engine oil inaunguzwa( Oil Burnt) hii inasababishwa na ring piston kuisha/ kufa. Pia valve seal nayo inasababisha moshi mweupe

Moshi rangi Nyeusi
Hii ni ishara ya mafuta yanachomwa kwa wingi sana. Hii inatokana na Fuel pump kutoa mafuata mengi sana

Moshi wa rangi ya Blue
Hii ni ishara ya mafuta hayachomwi vizur au Nozzle hazina Pressure ya kutosha. Inapelekea mafuta kuwa mengi sana kwenye chamber. Hii hali inapelekea kuuwa Piston rings na Sleeve kwa wakat mmoja. Sababu Diesel/ Petrol ikiwa nyng kwenye Chamber ina sababisha Friction kwenye Chamber kwahyo piston ring na Sleeve zinaaanza kusagana. Mwsho ring piston na sleeve zote znakufa.
 
Back
Top Bottom