Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,656
- 37,824
Shemeji yangu amepatwa na maafa jana baada ya kuibiwa gari na mfanyakazi wa nyumbani ambae hana wiki akitokea kwenye makampuni yanayotoa wafanyakazi wa nyumbani..
Tuwe makini wapendwa. Popote utakapoliona msaada wako please namba na jina husila liko kwenye attached picture!
Tuwe makini wapendwa. Popote utakapoliona msaada wako please namba na jina husila liko kwenye attached picture!