Msaada: External HD inaandika Format kila nikiiweka kwenye PC

Msaada: External HD inaandika Format kila nikiiweka kwenye PC

Unaweza mkuu tena ikiwa kwenye hali hiyo hiyo cha muhimu ni utulivu


Nasikia kuna software inatumika kurecover data kwenye hdd iliyoformatiwa hata zaidi ya 5 times, ni aina gani ya software ungenishauri kuitumia
 
Nasikia kuna software inatumika kurecover data kwenye hdd iliyoformatiwa hata zaidi ya 5 times, ni aina gani ya software ungenishauri kuitumia
Mi huwa natumia EaseUS Data Recovery na haijawahi kuniangusha cha muhimu isiwe ile ya free
 
Hapana mkuu, kama ipo kwenye format ya RAW anaweza kurecover data zake na kuformat katika file system nyingine, cha muhimu inategemea na uwezo wake kwenye suala la IT tu, mi nimekuwa nikiletewa hdd nyingi za namna hiyo na zinapona
Mkuu na flash inayolazimisha uiformat je?
 
Back
Top Bottom