The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
Wakuu salamu.
Simu yangu hapa, Samsung S7 edge, nimeiwasha leo inawaka ikifika pale kwenye logo ya *Samsung* ina stuck then ina jizima. Nimejaribu ku wipe cache partition lakini bado haikubali. Najua nikiformat itaweza kupona ila hofu yangu simu ina data zangu nyingi na muhimu sana hususani kwenye notebook.
Nifanyeje, iwake pasipo ku-flash au ku-format? Naombeni msaada wakuu
Simu yangu hapa, Samsung S7 edge, nimeiwasha leo inawaka ikifika pale kwenye logo ya *Samsung* ina stuck then ina jizima. Nimejaribu ku wipe cache partition lakini bado haikubali. Najua nikiformat itaweza kupona ila hofu yangu simu ina data zangu nyingi na muhimu sana hususani kwenye notebook.
Nifanyeje, iwake pasipo ku-flash au ku-format? Naombeni msaada wakuu