Tafuta(Benq)hii iko poa sana mkuu!wakuu, napenda kununua digital camera ila sijui zipi ni bora zaidi kutokana na kuwepo aina nyingi sokoni.Tafadhari naomba msaada wa kimawazo
wakuu, napenda kununua digital camera ila sijui zipi ni bora zaidi kutokana na kuwepo aina nyingi sokoni.Tafadhari naomba msaada wa kimawazo
Nunua kamera za kijapani particularly Sony kuanzia megapixel 10 si mbaya. kamera inayoanzia laki mbili na kuendelea. angalia specificatios zake yenye nyingi ndo bora na ukubwa si hoja sana. nunua ndogo tu ambayo unaweza kupiga kabla ya mtu kukustukia. cheki betri pia ile ya kuchaji ni bora na nafuu kuliko kununua kila mara betri za mitaani
narudia kukusisitizaa kama wataka camera poa nunua samsung PL120, ina 14 mega pixel, double display inayo kuwezesha kujipiga mwenyewe picha, ina feature ya kufanyia editing picha bila adobe photoshop, na ni camera latest. Kenya inauzwa 16,000KSHS sijui tanzania inauzwa kwa shilingi ngapi