toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,607
- 4,768
Sisimiz wamekua kero jamani
Nadeki kila siku na usafi geto kwangu lakini wanakuja tu
Wanatokea kwenye nyufa za sakafu nimeweka hadi zulia juu lakini wapi
Yaani sasa ni hadi kero nambieni nitumie dawa gani nisiwaone kabisa humu ndani
Update:Nimenunua akheri powder nikanyunyuzia ndani ya sekunde tu wamepotea na kuisha wote asanteni sana wanajamiiforum
Mungu ibariki jf
Nadeki kila siku na usafi geto kwangu lakini wanakuja tu
Wanatokea kwenye nyufa za sakafu nimeweka hadi zulia juu lakini wapi
Yaani sasa ni hadi kero nambieni nitumie dawa gani nisiwaone kabisa humu ndani
Update:Nimenunua akheri powder nikanyunyuzia ndani ya sekunde tu wamepotea na kuisha wote asanteni sana wanajamiiforum
Mungu ibariki jf