waungwana hebu nipeni ushauri wenu nifanyeje maanake cku nyingi clali kwa raha jinamizi huwaga linanisumbua sana ucngizin yaani mpaka ninachoka hebu nishaurini nini nifanye
Ndoto za kutisha (nightmare). Zinasababishwa na shibe (kushiba sana), na ulalaji mbaya (chali)...!
Hali hii usababishwa na kugusana kwa diaphragm na abdominal, na hii kupelekea uvutaji wa pumzi kuwa wa shida... Na meseji inayopokewa kwenye ubongo wako ni picha mbaya ya kutisha (kukabwa).
Unaweza kumuona mtu aliyelala akiangaika uku na kule, unachopaswa ni kumtikisa polepole na kumuita jina lake ili ahamke... Upaswi kumshtua kwa sauti mtu aliye kwenye hali hii, unaweza kumsababishia madhara mengine makubwa, kama vile mshtuko wa moyo.@muudy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.