Msaada wa kitabibu ya fangasi ukeni, ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni

desmond3076

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
278
182
Wapendwa wana JamiiiForums Salaam

Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri Nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu Kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama "

"RAFIKI yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni yaan ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi,anawashwa hadi huruma,na maumivu pia makali

Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauri, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.


JAMANI YEYOTE ANEYESOMA UJUMBE HUU MSAADA KWENYE TUTA, TUMSAIDIE PLEASE WATAALAMU WA AFYA MSAADA
 
chupi anazovaa azibadilishe avae mpya, aache kunywa mavitu ya sukari thus soda, juisi na chai ya sukar nyingi anywe maji mengi sana

akijisafisha anawe mbele kwenda nyuma, ahakikishe chup akifua ianikwe juani ikibidi aeke kanga kwa juu lakini aanike juani abadili pedi kila aonapo imejaa asikae na pedi mda mrefu

halaf aende hospital kwa matibab zaidi
 
Wapendwa wana JamiiiForums Salaam

Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri Nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu Kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama "

"RAFIKI yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni yaan ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi,anawashwa hadi huruma,na maumivu pia makali

Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauri, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.


JAMANI YEYOTE ANEYESOMA UJUMBE HUU MSAADA KWENYE TUTA, TUMSAIDIE PLEASE WATAALAMU WA AFYA MSAADA
Weka picha
 
Usafi usafi azingatie usafi wa nguo za ndani aanze kwakuzitupa zote za zamani na awe anabadili kutwa mara nne kwa siku
 
Wapendwa wana JamiiiForums Salaam

Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri Nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu Kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama "

"RAFIKI yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni yaan ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi,anawashwa hadi huruma,na maumivu pia makali

Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauri, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.


JAMANI YEYOTE ANEYESOMA UJUMBE HUU MSAADA KWENYE TUTA, TUMSAIDIE PLEASE WATAALAMU WA AFYA MSAADA
Atumie vitunguu swaumu vidogo vile vya kienyeji punje 3 au 4 atafune akishindwa anavichop vidogo vidogo anameza na maji vuguvugu nusu lita asubuhi kabla hajala kitu, kila siku kwa wiki moja tatizo litaisha, pia azingatie na usafi wa chupi na asijichokonoe huko kwa bibi akiwa anajisafisha!
 
Nyie watu 🤣🤣🤣🤣
Aweke picha ya nini?!!
Nafkiri wadau wanataka picha ya
images (12).jpeg
 
Halafu huyu rafiki yako ukimuomba mzigo ndio atakuambia shuka chini uninyonye ......................... daah binadam tunakazi kweli kweli
 
atumie hii tiba asipopona nitaomba life ban Jamii forum.

Anunue vile vitunguu swaumu vidogo na vifupi vya rangi ya brown sio vile vikubwa na vyeupe.

Awe anatafuna punje tatu asubuhi na usiku.

Au kama akishindwa awe anavisaga halafu anakunywa kijiko kimoja au awe anameza punje tano zilizomenywa asubuhi na jion kabla ya kulala.

Asipopona Kwa kitunguu swaumu basi nitajiondoa Jamii forum.


Angalizo; kitunguu swaumu ukila ASUbuh kabla ya kitu chochote na ikiwa ndio mara yako ya kwanza utajisikia vibaya Ila utazoea.
 
atumie hii tiba asipopona nitaomba life ban Jamii forum.

Anunue vile vitunguu swaumu vidogo na vifupi vya rangi ya brown sio vile vikubwa na vyeupe.

Awe anatafuna punje tatu asubuhi na usiku.

Au kama akishindwa awe anavisaga halafu anakunywa kijiko kimoja au awe anameza punje tano zilizomenywa asubuhi na jion kabla ya kulala.

Asipopona Kwa kitunguu swaumu basi nitajiondoa Jamii forum.


Angalizo; kitunguu swaumu ukila ASUbuh kabla ya kitu chochote na ikiwa ndio mara yako ya kwanza utajisikia vibaya Ila utazoea.
Havina masharti hivi?
Maana nasikia wajawazito na wenye pressure ya kushuka hawaruhusiwi.
 
Wapendwa wana JamiiiForums Salaam

Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri Nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu Kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama "

"RAFIKI yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni yaan ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi,anawashwa hadi huruma,na maumivu pia makali

Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauri, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.


JAMANI YEYOTE ANEYESOMA UJUMBE HUU MSAADA KWENYE TUTA, TUMSAIDIE PLEASE WATAALAMU WA AFYA MSAADA

Habari,

Ni vyema kujiridhisha kama tatizo analotibia ni fangasi au fangasi na mchanganyiko wa maambukizi mengine.

Hii, inaweza kufanyika kwa kupata historia nzuri ya tatizo, rangi ya ute, uwepo au kutokuwepo harufu na aina ya harufu pamoja na mambo mengine.

Pia, inaweza kuhusisha kufanya vipimo kulingana na taarifa sahihi. Hii inawrza kuhusisha kuchukua utr na kuuotesha ili kujua sina ya wadudu waliopo.

Ni muhimu pia kujua matumizi mazuri ya:
1: Aina ya pedi/kutokutumia zile zenye dawa/antiseptic
2: Jinsi ya kujisafisha/mbele kwenda nyuma.
3: Kutokuingiza vidole ndani.
4: kutokutumia sabuni hasa medicated jujisafisha.
6: Kutokutumia tampon.

Hivyo, kumwona daktari atakae kuongoza kwenye hili ni muhimu.
 
Wapendwa wana JamiiiForums Salaam

Ninaomba msaada wa matibabu au ushauri Nini afanye, ndugu yangu huyu na mtu wa karibu, maana najua humu Kuna madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama "

"RAFIKI yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni yaan ameshatumia kila dawa lakini hapati auheni Hali inakuwa mbaya anapokuwa kwenye hedhi,anawashwa hadi huruma,na maumivu pia makali

Jamani anayefahamu solution ya hili kiukweli tunaomba ushauri, anateseka sana. Hedhi ikipita anakuwa shwari.


JAMANI YEYOTE ANEYESOMA UJUMBE HUU MSAADA KWENYE TUTA, TUMSAIDIE PLEASE WATAALAMU WA AFYA MSAADA

Kuna dawa moja inaitwa ag cera imewasaidia wengi nafikir anaweza akatumia hiyo ikamsaidia kabisa
 
Abadili aina ya pedi anayotumia, usafi muhimu.

Maumivu yakizidi amuone daktari
 
Back
Top Bottom