Msaada CV ya Joyce Kiria

Msaada CV ya Joyce Kiria

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
kama heading inavojieleza wakuu ningependa kujua cv ya muongozaji wa kipindi cha wanawake live na mpigania haki za wanawake joyce kiria
 
Huyu ni public figure lazima tuone tunaongozwa na watu gani, hili tu ni la msingi sana. Kama ni Prof. Majimarefu tujue hivyo hata namna ya kum-handle ina tahadhali yake.
Kama ungekuwa mfuatiliaji mzuri wa vipindi vyake ungeshaifaham coz sio mchoyo wa kutoa cv yake
 
Ameishia la saba akawa house girl mpaka wanawake live alisoma evening classes za English Course by the Way Mchaga ni mchaga anajua kutafuta Hela ila ma Boss wamemgonga sana hasa wale Wadhamin kwa show yake
 
Huyu ni public figure lazima tuone tunaongozwa na watu gani, hili tu ni la msingi sana. Kama ni Prof. Majimarefu tujue hivyo hata namna ya kum-handle ina tahadhali yake.
ahsante mkuu wamekupata
 
Ameishia la saba akawa house girl mpaka wanawake live alisoma evening classes za English Course by the Way Mchaga ni mchaga anajua kutafuta Hela ila ma Boss wamemgonga sana hasa wale Wadhamin kwa show yake
Wewe utafungwa, wamemgonga ndiyo nini? Naogopa. She is a fighter
 
Kwani umemwomba yeye mhusika amejunyima? Ni vizr kama ungeomba kwake ,, maana yeye ndiye anayo nafasi ya ku Up date Cv yake,, ukiomba humu utapewa ya zamani haita kusaidia ktk Project yako.
 
Huyu ni public figure lazima tuone tunaongozwa na watu gani, hili tu ni la msingi sana. Kama ni Prof. Majimarefu tujue hivyo hata namna ya kum-handle ina tahadhali yake.
Kwa hiyo wewe unaongozwa Na Joyce Kiria.?
 
Back
Top Bottom