Asante sana kwa kunisaidia kumjibu! Diamond ni public figure, lakini siyo kiongozikwani public figure wote ni viongozi??
Ameishia la saba akawa house girl mpaka wanawake live alisoma evening classes za English Course by the Way Mchaga ni mchaga anajua kutafuta Hela ila ma Boss wamemgonga sana hasa wale Wadhamin kwa show yake
Hahahaaa![]()
![]()
" utaelewa siku hyo mbele kwa mbele
Hopeless. I repeat hopeless.Tunajua kazi yako ni kupangusa viatu Vya Mbowe. Good job.....
Hata Sept 1 amka asubuhi na kushika UKUTA vizuri
Tushazoea..ndio harakat hzoMgambo watawasambaratisha mjipange mtakimbilia uchochoroni au vichakani.
Tushazoea..ndio harakat hzo
Unatakiwa ujue kutofautisha kati ya elimu ya uraia na elimu ya darasanidarasani.Huyu ni public figure lazima tuone tunaongozwa na watu gani, hili tu ni la msingi sana. Kama ni Prof. Majimarefu tujue hivyo hata namna ya kum-handle ina tahadhali yake.
Nisaidie basi nitofautishe. Nadhani elimu ya uraia tunasoma pia darasani, I fail to comprehend your sentence anyway!Unatakiwa ujue kutofautisha kati ya elimu ya uraia na elimu ya darasanidarasani.
Elimu ya uraia ama civic education haiihitaji ukae darasan kujifunza kama biology,geography,chemistry etc, hii mtu hujifunza kutokana na jitihada zake binafsi katika kukabiliana na changamoto za maisha na za kijamii kwa ujumla na hujiffunza mengi kupitia humo kama atakuwa mwepesi kujifunza ,na walimu wa kuu wa elimu ya uraia ni raia wenyewe ambao hawana taaluma ya ualimu wakisaidiana na mazingiraNisaidie basi nitofautishe. Nadhani elimu ya uraia tunasoma pia darasani, I fail to comprehend your sentence anyway!
Asante elimu haina mwisho! Anyway Civic education definition is very broad, uko sahihi, I guess!Elimu ya uraia ama civic education haiihitaji ukae darasan kujifunza kama biology,geography,chemistry etc, hii mtu hujifunza kutokana na jitihada zake binafsi katika kukabiliana na changamoto za maisha na za kijamii kwa ujumla na hujiffunza mengi kupitia humo kama atakuwa mwepesi kujifunza ,na walimu wa kuu wa elimu ya uraia ni raia wenyewe ambao hawana taaluma ya ualimu wakisaidiana na mazingira
Umeitwa? Nyie ndio Mh Makonda anawatafuta manake c kwa kujipendekeza hukoAcha uf. ala jibu kitu kwa hoja.
Nawe nenda kwenye EATV utapata CV ya Joyce Kiria. Au muulizeni Mme wake. Kama anaruhusu mke wake adhalilishwe na makamanda wenzake, atashindwa kuwapa CV yake?Kaanzishe thread yako tutakuletea hiyo ya Mbowe hapa tunahitaji ya Joyce Kiria
Umeitwa? Nyie ndio Mh Makonda anawatafuta manake c kwa kujipendekeza huko


Sasa kiherehere cha nini? kama huna jibu ungenyamaza kimya watu wengine akili zenu zimejaa matopeNawe nenda kwenye EATV utapata CV ya Joyce Kiria. Au muulizeni Mme wake. Kama anaruhusu mke wake adhalilishwe na makamanda wenzake, atashindwa kuwapa CV yake?
Wewe uliyejibu mwanzo ulikuwa na jibu? Je, kama chako hakikuwa kiherehere ni kizabizabina?Sasa kiherehere cha nini? kama huna jibu ungenyamaza kimya watu wengine akili zenu zimejaa matope
Nina Shahada ya Uzamili katika Uchumi na Maendeleo ya Jamii (MCED) kutoka OUT. Wewe je?Umeishia darasa la ngapi?