HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,937
kama heading inavojieleza wakuu ningependa kujua cv ya muongozaji wa kipindi cha wanawake live na mpigania haki za wanawake joyce kiria
Cv yake wanayo watoto wake.
kama heading inavojieleza wakuu ningependa kujua cv ya muongozaji wa kipindi cha wanawake live na mpigania haki za wanawake joyce kiria
Ameishia la saba akawa house girl mpaka wanawake live alisoma evening classes za English Course by the Way Mchaga ni mchaga anajua kutafuta Hela ila ma Boss wamemgonga sana hasa wale Wadhamin kwa show yake
We ndo Mwanasheria wake ok VizurMkuu mbona mambo ya instagram unayahamishia humu? Tukikuomba ushahidi wa list ya walio mgonga utatupa?Tuache tabia za kuchafua watu kwa mambo yasio na ukweli, sio vizuri.
Kakujambisha wewe tuJoyce hongera kwa kuujambisha ukuta. Keep on fighting for your family.
Huambiliki mwana mtoka pabayaTumeshaambia achaneni na harakati huu ni wakati wa siasa. Lowassa kafail, duh. Nyie kweli kina Haambiliki.
Kwani swali hilo limeulizwa na Mwenyekiti?CHADEMA,acheni kumyanyasa Joyce jamani....
Nimependa avant yako tuJoyce Kiria yule elimu yake ni darasa la saba
Wewe ninmmoja wao Wa waliomgonga au mmoja Wa walioibiwa mabwana zake wivu kinaweza kuwa kipajiAmeishia la saba akawa house girl mpaka wanawake live alisoma evening classes za English Course by the Way Mchaga ni mchaga anajua kutafuta Hela ila ma Boss wamemgonga sana hasa wale Wadhamin kwa show yake
Asante sana kwa kunisaidia kumjibu! Diamond ni public figure, lakini siyo kiongozi
Ameishia la saba akawa house girl mpaka wanawake live alisoma evening classes za English Course by the Way Mchaga ni mchaga anajua kutafuta Hela ila ma Boss wamemgonga sana hasa wale Wadhamin kwa show yake