Msaada Concerning Oral Interview....!!!

Msaada Concerning Oral Interview....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Salaam wakuu,
Jana niliitwa kwenye usahili katika benki moja iliyopo 9th floor pale Harbor View towers ambapo raundi ya kwanza tulifanya ya kuandika na baada ya hapo wamesema watatuita kwaajili ya raundi ya usahili wa Oral. Naomba kwa wakuu wazoefu muweze kunisaidia aina ya maswali ambayo ninaweza kukutana nayo na jinsi ya kuyakabili. Nashukuru kwa mkuu aliyeweka post kuhusu jinsi ya kulikabili swali kuhusu salary. Kingine napenda kufahamu hivi kwa mfano ukiambiwa introduce yourself, ni kwamba unaelezea historia yako au vp? Maana vingi ni kama tayari vinakua kwenye CV. Naomba msaada kwaajili ya hili wakuu.
 
DTB sijui wanataka mtu wa aina gani kuna jamaa wamefanya interview tatu tayari mpaka wakabaki wawili afu kati yao hajaitwa yeyote tena mwezi na nusu xaxa........!!
 
DTB sijui wanataka mtu wa aina gani kuna jamaa wamefanya interview tatu tayari mpaka wakabaki wawili afu kati yao hajaitwa yeyote tena mwezi na nusu xaxa........!!

Daaah, kweli balaa mkuu.
 
Salaam wakuu,
Jana niliitwa kwenye usahili katika benki moja iliyopo 9th floor pale Harbor View towers ambapo raundi ya kwanza tulifanya ya kuandika na baada ya hapo wamesema watatuita kwaajili ya raundi ya usahili wa Oral. Naomba kwa wakuu wazoefu muweze kunisaidia aina ya maswali ambayo ninaweza kukutana nayo na jinsi ya kuyakabili. Nashukuru kwa mkuu aliyeweka post kuhusu jinsi ya kulikabili swali kuhusu salary. Kingine napenda kufahamu hivi kwa mfano ukiambiwa introduce yourself, ni kwamba unaelezea historia yako au vp? Maana vingi ni kama tayari vinakua kwenye CV. Naomba msaada kwaajili ya hili wakuu.
Kaka siku hizi internet inasaidia sana,kuna vitu vya kufanya unapokuwa unajiandaa na interview ukiachilia mbali maswali yatakayo husika na taaruma husika.

Kwanza nataka ujue kuwa unapoitwa kwenye interview maana yake wameridhika na wewe na wanahisi unaweza kufanya kazi.Je kwa nini unaulizwa maswali ambayo majibu yake yako kwenye CV yako?Hapa wanataka waone uwezo wako wa kujieleza(hapa ni muda wa kuprove "english excellent spoken and written",ujasiri wa kuongea mbele za watu hasa kama jopo lina watu zaidi ya wanne,je ulichokiandika kwenye cv na utakacho jibu kwenye oral vinaendana?(hapa kama ulikopi cv ya mshikaji ukasahau kuedit utakamatwa),so kuna vitu vingi vinaangaliwa unapofanyiwa oral interview.

unaweza ulizwa "why do you want to work with us? Au "what do you know about us/about this company?Hapa jibu lake nenda kwenye website yao kama ipo angalia about us,mission and vision utapata cha kuanzia.Kama kuna mtu anafanya kazi hapo na unajuana naye anaweza kukupa hints.

Swala la mshahara umesema kuna mtu amelielezea ,sijajua ameelwezeaje lakini kwa kuchangia hili ni gumu,litakuwa jepesi kama kuna mtu anajua mishahara yao ikoje then akupe hints na pia inategemea na experience yako na "what can you deliver for them in case wamekuajiri".
ushauri wangu usiweke mshahara mbele sana,iangalie hiyo kazi "Job description yake inakujenga kwenye proffesion yako?"Na je hiyo kazi itakuandaa na kazi zingine kwenye hiyo field yako?

Swali la "introduce yourself' soma haya maelezo kama yakikufaa tumia otherwise, I wish you all the best in your interview.

Search kwenye google "The Best Answers to Tough Interview Questions" unaweza pata kitu.


Tell me about yourself.
This is really more of a request than a question. But these few words can put you on the spot in a way no question can. Many quickly lose control of the interview during the most critical time- the first five minutes. This is not the time to go into a lengthy history or wander off in different directions. Your response should be focused and purposeful. Communicate a pattern of interests and skills that relate to the position in question. Consider your response to this question as a commercial that sells your autobiography. Provide an answer that includes information about where you grew up, where you went to school, your initial work experience, additional education and special training, where you are now, and what you intend to do next. One of the most effective ways to prepare for this question is to develop a 60-second biographic sketch that emphasizes a pattern of interests, skills, and accomplishments. Focus your response around a common theme related to your major interests and skills. Take, for example, the following response, which emphasizes computers.
 
Kaka siku hizi internet inasaidia sana,kuna vitu vya kufanya unapokuwa unajiandaa na interview ukiachilia mbali maswali yatakayo husika na taaruma husika.

Kwanza nataka ujue kuwa unapoitwa kwenye interview maana yake wameridhika na wewe na wanahisi unaweza kufanya kazi.Je kwa nini unaulizwa maswali ambayo majibu yake yako kwenye CV yako?Hapa wanataka waone uwezo wako wa kujieleza(hapa ni muda wa kuprove "english excellent spoken and written",ujasiri wa kuongea mbele za watu hasa kama jopo lina watu zaidi ya wanne,je ulichokiandika kwenye cv na utakacho jibu kwenye oral vinaendana?(hapa kama ulikopi cv ya mshikaji ukasahau kuedit utakamatwa),so kuna vitu vingi vinaangaliwa unapofanyiwa oral interview.

unaweza ulizwa "why do you want to work with us? Au "what do you know about us/about this company?Hapa jibu lake nenda kwenye website yao kama ipo angalia about us,mission and vision utapata cha kuanzia.Kama kuna mtu anafanya kazi hapo na unajuana naye anaweza kukupa hints.

Swala la mshahara umesema kuna mtu amelielezea ,sijajua ameelwezeaje lakini kwa kuchangia hili ni gumu,litakuwa jepesi kama kuna mtu anajua mishahara yao ikoje then akupe hints na pia inategemea na experience yako na "what can you deliver for them in case wamekuajiri".
ushauri wangu usiweke mshahara mbele sana,iangalie hiyo kazi "Job description yake inakujenga kwenye proffesion yako?"Na je hiyo kazi itakuandaa na kazi zingine kwenye hiyo field yako?

Swali la "introduce yourself' soma haya maelezo kama yakikufaa tumia otherwise, I wish you all the best in your interview.

Search kwenye google "The Best Answers to Tough Interview Questions" unaweza pata kitu.


Tell me about yourself.
This is really more of a request than a question. But these few words can put you on the spot in a way no question can. Many quickly lose control of the interview during the most critical time- the first five minutes. This is not the time to go into a lengthy history or wander off in different directions. Your response should be focused and purposeful. Communicate a pattern of interests and skills that relate to the position in question. Consider your response to this question as a commercial that sells your autobiography. Provide an answer that includes information about where you grew up, where you went to school, your initial work experience, additional education and special training, where you are now, and what you intend to do next. One of the most effective ways to prepare for this question is to develop a 60-second biographic sketch that emphasizes a pattern of interests, skills, and accomplishments. Focus your response around a common theme related to your major interests and skills. Take, for example, the following response, which emphasizes computers.

Mkuu, muchas gracias.
 
Nimeipata hii kuhusiana na salary:

"While money is important to me, it is not a demanding factor in a position. I'm sure your company compensate adequately and this has defined a range for this position. What would that be? "In discussing money, you might say that you would need to know more about the responsibilities of the position you are discussing before you could give an answer. "It's difficult to say until I know more about the responsibilities and expectations I'm sure your organization compensates fairly. Could you tell me more about the job?" If they continue to press for a number, give a range. Leave room to negotiate down.


NGO Jobs in Africa
 
Back
Top Bottom