Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Wadau,
Nahitaji hawa wataalamu kwa ajili ya msaada wa kupokea na kuniletea vifaa vyangu porti ya Dar.
1. Je, ni gharama kiasi gani kushughulikia zoezi zima?
2. Ni mambo gani yanahitajika?
Nahitaji majibu ya haraka, aliyetayari anaweza kunisaidia.
Asante.
Nahitaji hawa wataalamu kwa ajili ya msaada wa kupokea na kuniletea vifaa vyangu porti ya Dar.
1. Je, ni gharama kiasi gani kushughulikia zoezi zima?
2. Ni mambo gani yanahitajika?
Nahitaji majibu ya haraka, aliyetayari anaweza kunisaidia.
Asante.