Msaada: Chuo kinachofundisha English Course

starj4

Senior Member
Jul 2, 2016
143
21
Habar wana jf naomba msaada juu ya chuo chochote kilicho bora ambacho kina weza kufundisha mwanafunz english course ambacho kina muda wa asubuhi /usiku muda wa kuanza na ada yake bei gan na unalipa je
 
kuna shida gani ukibaki hivyohivyo unajua kiswahili na kimakonde?
 
WANA JF NAOMBE MSAADA KWA HOJA HYO COLLEGE AMBAYO IKOVIZURI KUFUNDISHA ENGLISH COURSE JAPO KUWA KUNA KOZ ZENGENGNEZO HUMO NDAN
 
Tapeli huyu eti UsipoJua Kiinglish kwa miezi mitatu anakurudishia hela yako na hutojua kiinglish tena mpaka ubadilishe kichwa. Tangazo lake tu limekaa kitapeli tapeli
Kwan yeye anatoa elimu hyo kwa college au wap na anapatkana wap
 
Habar wana jf naomba msaada juu ya chuo chochote kilicho bora ambacho kina weza kufundisha mwanafunz english course ambacho kina muda wa asubuhi /usiku muda wa kuanza na ada yake bei gan na unalipa je
Usisahau kutafuta na tuition ya kiswahili.
 
Back
Top Bottom