Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Kwa dar naweza ipata wapi?bonge moja ya spray matata,haijawah tokea. Toka nimeanza itumia sijawah iacha.yaan ni ndogo lkn harufu haiishi,ata ukifua nguo.
mimi huwa sina haja yakutumia pafume,Elope ni pafume tosha,..
Wewe ni mtu kama wa tano nasikia anaisifia sana hii spray. Nataka na mimi niijaribu