Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,875
- 3,234
y
Mkuu kuhusu masomo sina tatizo ndio maana sijaja na tatizo lihusulo masomoUpo chuoni kusoma, tambua kilichokupeleka hapo, Huu ndo msaada wangu Kwako! MAPENZI ni B, unatakiwa uulize mambo ya msingi....
Watu ambao mnauliza kuhusu MAPENZI kwa kweli mnatakiwa msiyape kipaumbele, sio fungu lenu! Haya nenda discussion!
Kwa sababu unauliza una kosa skills za muhimu sana, ukiyaanza hautawezana! Usije kutuulia msomali wetu!
Msimshauri huyu sio Baharia!
Kwan usomali kitu gani.....ndoano zile zile unazowatumia dada zako wa mwakaleli na litapwasi....ndo hizo hizo zitamnasa hata huyo msomali.........!!!!!! Ungawa wengi wao wanakua mademu wa magaidi wa alshabaab