luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau kwema?
Naomba msaada kwa mwenye kufahamu biashara ya kuuza gesi za kupikia.
Je, mtaji wake nikiweka kama 500,000/= Tsh unatosha?
Je, vibali vya kufanyia hiyo bishara vimekaaje?
Naomba msaada wadau wenye uelewa.
Naomba msaada kwa mwenye kufahamu biashara ya kuuza gesi za kupikia.
Je, mtaji wake nikiweka kama 500,000/= Tsh unatosha?
Je, vibali vya kufanyia hiyo bishara vimekaaje?
Naomba msaada wadau wenye uelewa.