Biashara ya kuuza gesi za kupikia

Kwa mtaji huo unaweza kuanza kibishi bishi na ukafanikiwa vyema tu

Gas zimepanda ila bado haisababishi ushindwe kuanza kufanya mtaji

Ulio nao unatosha kuanza, ila achana na mambo za vibali mzee we komaa

BEI ZA GAS ZIKO KAMA IFUATAVYO

Mihan/Taifa

6KG 31,500 (gas + cylinder)
15KG 67,000 (gas + cylinder)

ORYX

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 85,000 (gas + cylinder)

MANJIS

6KG 38,000 (gas + cylinder)
15KG 65,000 (gas + cylinder)

O GAS

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 70,000 (gas + cylinder)

Hizo ndio gas ambazo zina mzunguko kwa wateja kwa sasa

kwa mtaji wako huo una weza ukaanza na Ndogo mbili kwa

kila kampuni utapata 219,000 na ukachukua 15KG 1 kwa kila kampuni

Utapata 217,000 ukipga total hapo unapata 436,000 katika ile 500,000 yako

Una balance ya 64,000 hii sasa kanunulie vifaaa vya gas kama Trivert na Burner

Vifaa bei Trivert 1 = 4000 Burner 1= 3000

Nunua Trivert 5 = 20,000
Nunua Burner 10 = 30,000

Total 50,000, hapo chenchi imebaki 14,000 hiii 14k iliyobaki nadhani tunasema imebaki ki theory ila ki practical sidhan kama itakua imebaki maana nauli itakua humo,maji njiani,vocha kidogo.

So ki practical naona mfukoni utakua umebaki na jero au buku au sh 200 hv kama sio sh 100, Mtaji wako utakua umeishia hapo, kifuatacho ni wewe kupga biashara.

Najua sehemu ya biashara unayo mwanzo utakua unatoa na kuingiza hii ndio maana halisi ya mwanzo Mgumu.

Sijaweka bei za kubadlisha kwa wateja wa majumbani maana kila mtaa una bei zake,nadhani kuna kitu umepata mkuu MSHUKURU Copa Cabana kwa kuni tag maana nisingeuona uzi wako.

Kwa mwanzo huu utatoboa, nikupe tu siri 1 mkuuu, Usikatshwe tamaa na boya yeyote GAS ni TAMUU nikikwambia TAMUU namaanisha Anza kuuza kwa ugumu na shida hvyo hvyo Baada ya miaka yako mi 5 kurudi home na faida 300k per day kwenye gas tu ni jambo la kawaida SANAAAAA tena huyo n mfanyabiashara mdogo.

Ukitunisha mtaji 500K PER DAY UNAGUSA TU gas tamu baba tamu sana anza na usikatshwe tamaa japo mwanzo huu wakati unaanza utapgwa pgwa sana bei na wauzaji gas maana sio waaminifu ila usijali hata sisi wenzako tuliumizwa hvyo hvyo mpk kufikia hatua ya kwenda fata Lori lako depo si safari ndogo,ilikua safari ya kupanda milima na mabonde.Komaaa utatusua.
 
Biashara ikikubali kakate kibali cha fire 45,000 tu japo vibali vinatoka kwa sqm so idadi ya mitungi yako ndio ita determine wewe kibali chako kiwe cha sh ngapi.

Mwanzo nilifanyaga mafekeche nikawa nimekata kbali kdg tu ila mitungi kibaooo,baadae roho ikanisuta nikaona nikija kuotewa ntaumia basi nimekubali ongeza dau kibali bei ya juu kdg,ila wewe cha 45k ndio size yako.

Kingine Fire extinguisher kwisha habari ukshapata certificate ya fire na hyo fire extinguisher umemaliza Hao fire inpectors wakipta eneo la ofisi yako watapta kwa mbaliii kama hawakuoni.

Kupata Kibali cha Fire ni LAZIMA uwe na leseni ya biashara plus TIN number,imeisha hiyo mkuu.Kapambane.
 
Biashara ikikubali kakate kibali cha fire 45,000 tu japo vibali vinatoka kwa sqm so idadi ya mitungi yako ndio ita determine wewe kibali chako kiwe cha sh ngapi.

mwanzo nilifanyaga mafekeche nikawa nimekata kbali kdg tu ila mitungi kibaooo,baadae roho ikanisuta nikaona nikija kuotewa ntaumia basi nimekubali ongeza dau kibali bei ya juu kdg,ila wewe cha 45k ndio size yako.

Kingine Fire extinguisher kwisha habari ukshapata certificate ya fire na hyo fire extinguisher umemaliza Hao fire inpectors wakipta eneo la ofisi yako watapta kwa mbaliii kama hawakuoni.

Kupata Kibali cha Fire ni LAZIMA uwe na leseni ya biashara plus TIN number,imeisha hiyo mkuu.Kapambane.
Hope umempa kila alichohitaji kazi imebaki kufanya tu.
 
Nimepata kitu hapa,ngojea nimfungulie mama watoto,nna fremu nyumbani,nimeipangisha,itabidi nimfungulie wife biashara
Asee una vitega uchumi halafu wife hakua na biashara unafeli wapi bwasheee,unakubalije bi mkubwa Kadi ya ATM ikose M kadhaaa,ukidondoka paaaa Hatoteseka yeye tu ila na wanao Pia.

Mfungulie Boss usiuweke tena fanya chap chap,hawa wake zetu waliotuletea viumbe ni wakuwawekea mazingira ya hela hadi wazizoeee wakitaka kwenda pelekea viben ten shauri zao,nachojua hawezi kubali mwanangu ateseke.
 
Kwa mtaji huo unaweza kuanza kibishi bishi na ukafanikiwa vyema tu

Gas zimepanda ila bado haisababishi ushindwe kuanza kufanya mtaji

ulio nao unatosha kuanza,ila achana na mambo za vibali mzee we komaa

BEI ZA GAS ZIKO KAMA IFUATAVYO

Mihan/Taifa

6KG 31,500 (gas + cylinder)
15KG 67,000 (gas + cylinder)

ORYX

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 85,000 (gas + cylinder)

MANJIS

6KG 38,000 (gas + cylinder)
15KG 65,000 (gas + cylinder)

O GAS

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 70,000 (gas + cylinder)

Hizo ndio gas ambazo zina mzunguko kwa wateja kwa sasa

kwa mtaji wako huo una weza ukaanza na Ndogo mbili kwa

kila kampuni utapata 219,000 na ukachukua 15KG 1 kwa kila kampuni

utapata 217,000 ukipga total hapo unapata 436,000 katika ile 500,000 yako

una balance ya 64,000 hii sasa kanunulie vifaaa vya gas kama Trivert na Burner

Vifaa bei Trivert 1 = 4000 Burner 1= 3000

Nunua Trivert 5 = 20,000
Nunua Burner 10 = 30,000

total 50,000, hapo chenchi imebaki 14,000 hiii 14k iliyobaki nadhani tunasema imebaki ki theory ila ki practical sidhan kama itakua imebaki maana nauli itakua humo,maji njiani,vocha kidogo.

so ki practical naona mfukoni utakua umebaki na jero au buku au sh 200 hv kama sio sh 100, Mtaji wako utakua umeishia hapo, kifuatacho ni wewe kupga biashara.

Najua sehemu ya biashara unayo mwanzo utakua unatoa na kuingiza hii ndio maana halisi ya mwanzo Mgumu.

Sijaweka bei za kubadlisha kwa wateja wa majumbani maana kila mtaa una bei zake,nadhani kuna kitu umepata mkuu MSHUKURU Copa Cabana kwa kuni tag maana nisingeuona uzi wako.

Kwa mwanzo huu utatoboa, nikupe tu siri 1 mkuuu, Usikatshwe tamaa na boya yeyote GAS ni TAMUU nikikwambia TAMUU namaanisha Anza kuuza kwa ugumu na shida hvyo hvyo Baada ya miaka yako mi 5 kurudi home na faida 300k per day kwenye gas tu ni jambo la kawaida SANAAAAA tena huyo n mfanyabiashara mdogo.

Ukitunisha mtaji 500K PER DAY UNAGUSA TU gas tamu baba tamu sana anza na usikatshwe tamaa japo mwanzo huu wakati unaanza utapgwa pgwa sana bei na wauzaji gas maana sio waaminifu ila usijali hata sisi wenzako tuliumizwa hvyo hvyo mpk kufikia hatua ya kwenda fata Lori lako depo si safari ndogo,ilikua safari ya kupanda milima na mabonde.Komaaa utatusua.
Nimekuelewa sana kiongozi,ie uwezekano wa ww kwenda kiwandani bila mtu wa kati inawezekana,pili kiwandani mpaka uwe na mtaji kiasi gani ndio unaweza kwenda kununua mzigo?
 
Kwa mtaji huo unaweza kuanza kibishi bishi na ukafanikiwa vyema tu

Gas zimepanda ila bado haisababishi ushindwe kuanza kufanya mtaji

ulio nao unatosha kuanza,ila achana na mambo za vibali mzee we komaa

BEI ZA GAS ZIKO KAMA IFUATAVYO

Mihan/Taifa

6KG 31,500 (gas + cylinder)
15KG 67,000 (gas + cylinder)

ORYX

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 85,000 (gas + cylinder)

MANJIS

6KG 38,000 (gas + cylinder)
15KG 65,000 (gas + cylinder)

O GAS

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 70,000 (gas + cylinder)

Hizo ndio gas ambazo zina mzunguko kwa wateja kwa sasa

kwa mtaji wako huo una weza ukaanza na Ndogo mbili kwa

kila kampuni utapata 219,000 na ukachukua 15KG 1 kwa kila kampuni

utapata 217,000 ukipga total hapo unapata 436,000 katika ile 500,000 yako

una balance ya 64,000 hii sasa kanunulie vifaaa vya gas kama Trivert na Burner

Vifaa bei Trivert 1 = 4000 Burner 1= 3000

Nunua Trivert 5 = 20,000
Nunua Burner 10 = 30,000

total 50,000, hapo chenchi imebaki 14,000 hiii 14k iliyobaki nadhani tunasema imebaki ki theory ila ki practical sidhan kama itakua imebaki maana nauli itakua humo,maji njiani,vocha kidogo.

so ki practical naona mfukoni utakua umebaki na jero au buku au sh 200 hv kama sio sh 100, Mtaji wako utakua umeishia hapo, kifuatacho ni wewe kupga biashara.

Najua sehemu ya biashara unayo mwanzo utakua unatoa na kuingiza hii ndio maana halisi ya mwanzo Mgumu.

Sijaweka bei za kubadlisha kwa wateja wa majumbani maana kila mtaa una bei zake,nadhani kuna kitu umepata mkuu MSHUKURU Copa Cabana kwa kuni tag maana nisingeuona uzi wako.

Kwa mwanzo huu utatoboa, nikupe tu siri 1 mkuuu, Usikatshwe tamaa na boya yeyote GAS ni TAMUU nikikwambia TAMUU namaanisha Anza kuuza kwa ugumu na shida hvyo hvyo Baada ya miaka yako mi 5 kurudi home na faida 300k per day kwenye gas tu ni jambo la kawaida SANAAAAA tena huyo n mfanyabiashara mdogo.

Ukitunisha mtaji 500K PER DAY UNAGUSA TU gas tamu baba tamu sana anza na usikatshwe tamaa japo mwanzo huu wakati unaanza utapgwa pgwa sana bei na wauzaji gas maana sio waaminifu ila usijali hata sisi wenzako tuliumizwa hvyo hvyo mpk kufikia hatua ya kwenda fata Lori lako depo si safari ndogo,ilikua safari ya kupanda milima na mabonde.Komaaa utatusua.
Mitungi kama anayo lakini bila shaka mitungi hana
 
Kwa mtaji huo unaweza kuanza kibishi bishi na ukafanikiwa vyema tu

Gas zimepanda ila bado haisababishi ushindwe kuanza kufanya mtaji

ulio nao unatosha kuanza,ila achana na mambo za vibali mzee we komaa

BEI ZA GAS ZIKO KAMA IFUATAVYO

Mihan/Taifa

6KG 31,500 (gas + cylinder)
15KG 67,000 (gas + cylinder)

ORYX

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 85,000 (gas + cylinder)

MANJIS

6KG 38,000 (gas + cylinder)
15KG 65,000 (gas + cylinder)

O GAS

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 70,000 (gas + cylinder)

Hizo ndio gas ambazo zina mzunguko kwa wateja kwa sasa

kwa mtaji wako huo una weza ukaanza na Ndogo mbili kwa

kila kampuni utapata 219,000 na ukachukua 15KG 1 kwa kila kampuni

utapata 217,000 ukipga total hapo unapata 436,000 katika ile 500,000 yako

una balance ya 64,000 hii sasa kanunulie vifaaa vya gas kama Trivert na Burner

Vifaa bei Trivert 1 = 4000 Burner 1= 3000

Nunua Trivert 5 = 20,000
Nunua Burner 10 = 30,000

total 50,000, hapo chenchi imebaki 14,000 hiii 14k iliyobaki nadhani tunasema imebaki ki theory ila ki practical sidhan kama itakua imebaki maana nauli itakua humo,maji njiani,vocha kidogo.

so ki practical naona mfukoni utakua umebaki na jero au buku au sh 200 hv kama sio sh 100, Mtaji wako utakua umeishia hapo, kifuatacho ni wewe kupga biashara.

Najua sehemu ya biashara unayo mwanzo utakua unatoa na kuingiza hii ndio maana halisi ya mwanzo Mgumu.

Sijaweka bei za kubadlisha kwa wateja wa majumbani maana kila mtaa una bei zake,nadhani kuna kitu umepata mkuu MSHUKURU Copa Cabana kwa kuni tag maana nisingeuona uzi wako.

Kwa mwanzo huu utatoboa, nikupe tu siri 1 mkuuu, Usikatshwe tamaa na boya yeyote GAS ni TAMUU nikikwambia TAMUU namaanisha Anza kuuza kwa ugumu na shida hvyo hvyo Baada ya miaka yako mi 5 kurudi home na faida 300k per day kwenye gas tu ni jambo la kawaida SANAAAAA tena huyo n mfanyabiashara mdogo.

Ukitunisha mtaji 500K PER DAY UNAGUSA TU gas tamu baba tamu sana anza na usikatshwe tamaa japo mwanzo huu wakati unaanza utapgwa pgwa sana bei na wauzaji gas maana sio waaminifu ila usijali hata sisi wenzako tuliumizwa hvyo hvyo mpk kufikia hatua ya kwenda fata Lori lako depo si safari ndogo,ilikua safari ya kupanda milima na mabonde.Komaaa utatusua.
Madini yamekaa kwa kichwa tayari.
 
Nimekuelewa sana kiongozi,ie uwezekano wa ww kwenda kiwandani bila mtu wa kati inawezekana,pili kiwandani mpaka uwe na mtaji kiasi gani ndio unaweza kwenda kununua mzigo?
Huwezi kwenda depo (kiwandani) kule wanaenda mawakala Wakuu TU.

Mtaji wa kuwa wakala Mkuu sio wa kuanza kudiscuss hapa, Fanya tu biashara ya gas kwa level hyo hyo uliyopo Mkuu.

Bado faida utaiona vyema wala hutopata stress,Komaa anza na ulichonacho.

Cha muhimu Kuwa makini,wauza gas namaanisha wasambazaji madereva wanaosambaza gas kwa wateja Huwa wanaongeza sana vi buku buku na vijero jero...

Usije ukatajiwa bei yakununua ni 19,000 ukaona ndogo ukawa unatoa hela, wakat huo wenzio mahali wananunua kwa 17,000...

Gas ni biashara hutakiwi kuagiza kwa mtu 1 unatakiwa akili iwe inafanya utafiti kila iitwapo leo, Maana ina madalali wengi sanaa kuanzia kwenye gas yenyewe mpk kwenye Vifaa vyake.

ili uone faida vyema zuia upoteaji wa vile vijero jero na vibuku buku wanavyokuongezea wauzaji wasambazaji.

Ukiuza Gas 22,000

Jirani ako akiuza gas 21,500 nakuhakikishia wewe utamlaumu sana Mungu kwann wateja hawakuoni...

Ofa INAENDELEA upande huu HUKU

IMG_20220405_120919_124.jpg
 
Kwa mtaji huo unaweza kuanza kibishi bishi na ukafanikiwa vyema tu

Gas zimepanda ila bado haisababishi ushindwe kuanza kufanya mtaji

ulio nao unatosha kuanza,ila achana na mambo za vibali mzee we komaa

BEI ZA GAS ZIKO KAMA IFUATAVYO

Mihan/Taifa

6KG 31,500 (gas + cylinder)
15KG 67,000 (gas + cylinder)

ORYX

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 85,000 (gas + cylinder)

MANJIS

6KG 38,000 (gas + cylinder)
15KG 65,000 (gas + cylinder)

O GAS

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 70,000 (gas + cylinder)

Hizo ndio gas ambazo zina mzunguko kwa wateja kwa sasa

kwa mtaji wako huo una weza ukaanza na Ndogo mbili kwa

kila kampuni utapata 219,000 na ukachukua 15KG 1 kwa kila kampuni

utapata 217,000 ukipga total hapo unapata 436,000 katika ile 500,000 yako

una balance ya 64,000 hii sasa kanunulie vifaaa vya gas kama Trivert na Burner

Vifaa bei Trivert 1 = 4000 Burner 1= 3000

Nunua Trivert 5 = 20,000
Nunua Burner 10 = 30,000

total 50,000, hapo chenchi imebaki 14,000 hiii 14k iliyobaki nadhani tunasema imebaki ki theory ila ki practical sidhan kama itakua imebaki maana nauli itakua humo,maji njiani,vocha kidogo.

so ki practical naona mfukoni utakua umebaki na jero au buku au sh 200 hv kama sio sh 100, Mtaji wako utakua umeishia hapo, kifuatacho ni wewe kupga biashara.

Najua sehemu ya biashara unayo mwanzo utakua unatoa na kuingiza hii ndio maana halisi ya mwanzo Mgumu.

Sijaweka bei za kubadlisha kwa wateja wa majumbani maana kila mtaa una bei zake,nadhani kuna kitu umepata mkuu MSHUKURU Copa Cabana kwa kuni tag maana nisingeuona uzi wako.

Kwa mwanzo huu utatoboa, nikupe tu siri 1 mkuuu, Usikatshwe tamaa na boya yeyote GAS ni TAMUU nikikwambia TAMUU namaanisha Anza kuuza kwa ugumu na shida hvyo hvyo Baada ya miaka yako mi 5 kurudi home na faida 300k per day kwenye gas tu ni jambo la kawaida SANAAAAA tena huyo n mfanyabiashara mdogo.

Ukitunisha mtaji 500K PER DAY UNAGUSA TU gas tamu baba tamu sana anza na usikatshwe tamaa japo mwanzo huu wakati unaanza utapgwa pgwa sana bei na wauzaji gas maana sio waaminifu ila usijali hata sisi wenzako tuliumizwa hvyo hvyo mpk kufikia hatua ya kwenda fata Lori lako depo si safari ndogo,ilikua safari ya kupanda milima na mabonde.Komaaa utatusua.
Katika ubora wako mwamba😍
 
Wadau kwemaa

Naomba msaada kwa mwenye kufahamu biashara ya kuuza gesi za kupikia

Je mtaji wake nikiweka kama 500,000/= Tsh

Je vibali vya kufanyia iuo bishara zimekaaje

Naomba msaada wadau wenye uelewa
Nitajifunza
 
Asee una vitega uchumi halafu wife hakua na biashara unafeli wapi bwasheee,unakubalije bi mkubwa Kadi ya ATM ikose M kadhaaa,ukidondoka paaaa Hatoteseka yeye tu ila na wanao Pia.

Mfungulie Boss usiuweke tena fanya chap chap,hawa wake zetu waliotuletea viumbe ni wakuwawekea mazingira ya hela hadi wazizoeee wakitaka kwenda pelekea viben ten shauri zao,nachojua hawezi kubali mwanangu ateseke.
Mkuu nikiwa na 4M si naweza fanya kwa ukubwa kidogo?
 
Kwa mtaji huo unaweza kuanza kibishi bishi na ukafanikiwa vyema tu

Gas zimepanda ila bado haisababishi ushindwe kuanza kufanya mtaji

ulio nao unatosha kuanza,ila achana na mambo za vibali mzee we komaa

BEI ZA GAS ZIKO KAMA IFUATAVYO

Mihan/Taifa

6KG 31,500 (gas + cylinder)
15KG 67,000 (gas + cylinder)

ORYX

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 85,000 (gas + cylinder)

MANJIS

6KG 38,000 (gas + cylinder)
15KG 65,000 (gas + cylinder)

O GAS

6KG 40,000 (gas + cylinder)
15KG 70,000 (gas + cylinder)

Hizo ndio gas ambazo zina mzunguko kwa wateja kwa sasa

kwa mtaji wako huo una weza ukaanza na Ndogo mbili kwa

kila kampuni utapata 219,000 na ukachukua 15KG 1 kwa kila kampuni

utapata 217,000 ukipga total hapo unapata 436,000 katika ile 500,000 yako

una balance ya 64,000 hii sasa kanunulie vifaaa vya gas kama Trivert na Burner

Vifaa bei Trivert 1 = 4000 Burner 1= 3000

Nunua Trivert 5 = 20,000
Nunua Burner 10 = 30,000

total 50,000, hapo chenchi imebaki 14,000 hiii 14k iliyobaki nadhani tunasema imebaki ki theory ila ki practical sidhan kama itakua imebaki maana nauli itakua humo,maji njiani,vocha kidogo.

so ki practical naona mfukoni utakua umebaki na jero au buku au sh 200 hv kama sio sh 100, Mtaji wako utakua umeishia hapo, kifuatacho ni wewe kupga biashara.

Najua sehemu ya biashara unayo mwanzo utakua unatoa na kuingiza hii ndio maana halisi ya mwanzo Mgumu.

Sijaweka bei za kubadlisha kwa wateja wa majumbani maana kila mtaa una bei zake,nadhani kuna kitu umepata mkuu MSHUKURU Copa Cabana kwa kuni tag maana nisingeuona uzi wako.

Kwa mwanzo huu utatoboa, nikupe tu siri 1 mkuuu, Usikatshwe tamaa na boya yeyote GAS ni TAMUU nikikwambia TAMUU namaanisha Anza kuuza kwa ugumu na shida hvyo hvyo Baada ya miaka yako mi 5 kurudi home na faida 300k per day kwenye gas tu ni jambo la kawaida SANAAAAA tena huyo n mfanyabiashara mdogo.

Ukitunisha mtaji 500K PER DAY UNAGUSA TU gas tamu baba tamu sana anza na usikatshwe tamaa japo mwanzo huu wakati unaanza utapgwa pgwa sana bei na wauzaji gas maana sio waaminifu ila usijali hata sisi wenzako tuliumizwa hvyo hvyo mpk kufikia hatua ya kwenda fata Lori lako depo si safari ndogo,ilikua safari ya kupanda milima na mabonde.Komaaa utatusua.
We jamaa akili kubwa sana. Hope hautakufa masikini, nakutabiria makubwa.
 
Back
Top Bottom