Msaada:Battery kutotunza charge kwa muda mrefu.

Msaada:Battery kutotunza charge kwa muda mrefu.

tusichoke

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
1,316
Reaction score
216
Habari wana JF.Nilinunua laptop Dell inspiron 1545 miaka 2 iliyopita.Toka ikiwa mpya mpaka sasa uwezo battery kutunza charge ni mdogo sana si zaidi ya dk 30 toka umeme unapokatika.Je hii ni kawaida?Nifanye nini ili niweze kupata battery inayokaa muda mrefu hasa kipindi hiki cha mgao wa umeme?Iwapo zinapatikana naomba specification na mahali zinapopatikana
 
Hapo litakuwa tatzo la betri katafute betri nyngne halafu ukipata wakati umeme umekatika weka balanced power
 
samahani,naomba kutoa swali juu ya swali: kwani batri ambayo ni nzima,umeme ukukatika charge inatakiwa kukaa angalau kwa muda gani??
 
samahani,naomba kutoa swali juu ya swali: kwani batri ambayo ni nzima,umeme ukukatika charge inatakiwa kukaa angalau kwa muda gani??
laptop nyingi zikiwa bado ni mpya au betri mpya hukaa kwa muda wa kuanzia saa moja na nusu mpaka masaa 3.Lakini muda huo pia hutegemeana na matumizi yako(programs unazo run).kwa mfano ku-play music hakutumii charge kwa sana ilhali converting video au burning and copying humaliza moto haraka.
 
click pale kwenye icon ya battery halafu select Power Saver Mode itasaidia kuextend battery life na pia jitahidi kuclose program ambazo huzitumii kwa wakati huo
 
laptop nyingi zikiwa bado ni mpya au betri mpya hukaa kwa muda wa kuanzia saa moja na nusu mpaka masaa 3.Lakini muda huo pia hutegemeana na matumizi yako(programs unazo run).kwa mfano ku-play music hakutumii charge kwa sana ilhali converting video au burning and copying humaliza moto haraka.[/Q

Ahsante sana Lonestrike,sikuwa deep kwa hayo yote!
 
click pale kwenye icon ya battery halafu select Power Saver Mode itasaidia kuextend battery life na pia jitahidi kuclose program ambazo huzitumii kwa wakati huo
Nimejaribu power scheme na kuselect minimum power management,nikitaka kusave inatoka icon inayosema (power policy manager unable to set policy -zaidi inasema " indicates two revision levels are incompatible"pengine ukipata muda nipe darasa la kutosha.Shukrani
 
Mkuu kwenye maswala ya betry kuna kitu kinaitwa recycle yaani as longer you charge it you reduce life of the betry ikiwa mpya inakaa 3 hrs so usitegemee baada ya miaka mitatu ikae masaa 3 ni kitu ambacho hakiwezekana dawa ni kununua mpya tu.
 
Habari wana JF.Nilinunua laptop Dell inspiron 1545 miaka 2 iliyopita.Toka ikiwa mpya mpaka sasa uwezo battery kutunza charge ni mdogo sana si zaidi ya dk 30 toka umeme unapokatika.Je hii ni kawaida?Nifanye nini ili niweze kupata battery inayokaa muda mrefu hasa kipindi hiki cha mgao wa umeme?Iwapo zinapatikana naomba specification na mahali zinapopatikana
Tatizo hilo lipo kwa Wabongo wengi hawajuwi kutumia Laptop. Nakushauri nenda dukani kanunue Betri mpya hiyo imesha kufa jambo la pili unapopata Betri mpya

uiweke kwenye laptop yako kwa muda wa masaa kama 8 kisha uitowe ndani ya Laptop yako, kisha uwe unatumia Laptop pasipo na Batri hiyo itakusaidia kwanza hiyo Laptop yako haitakuwa na joto sana pili wakati umeme unapokatika ndipo utaitumia hiyo Batri yako na utaona inaweza

hata kuchukuwa masaa 2 bila kuisha na wakati unapokuja umeme utaiweka hiyo betri iwe ndani ya Laptop yako mpaka itakapo imejaa utaitowa tena na kuiweka kando utakuwa unatumia waya wa umeme mpaka hapo umeme utakapo katika tena waweza kutumia tena Betri huo ndio ushauri wangu.
 
Tatizo hilo lipo kwa Wabongo wengi hawajuwi kutumia Laptop. Nakushauri nenda dukani kanunue Betri mpya hiyo imesha kufa jambo la pili unapopata Betri mpya uiweke kwenye laptop yako kwa muda wa masaa kama 8 kisha uitowe ndani ya Laptop yako, kisha uwe unatumia Laptop pasipo na Batri hiyo itakusaidia kwanza hiyo Laptop yako haitakuwa na joto sana pili wakati umeme unapokatika ndipo utaitumia hiyo Batri yako na utaona inaweza hata kuchukuwa masaa 2 bila kuisha na wakati unapokuja umeme utaiweka hiyo betri iwe ndani ya Laptop yako mpaka itakapo imejaa utaitowa tena na kuiweka kando utakuwa unatumia waya wa umeme mpaka hapo umeme utakapo katika tena waweza kutumia tena Betri huo ndio ushauri wangu.
hyo nimeipenda, umenifumbua akil pia
 
Tatizo hilo lipo kwa Wabongo wengi hawajuwi kutumia Laptop. Nakushauri nenda dukani kanunue Betri mpya hiyo imesha kufa jambo la pili unapopata Betri mpya

uiweke kwenye laptop yako kwa muda wa masaa kama 8 kisha uitowe ndani ya Laptop yako, kisha uwe unatumia Laptop pasipo na Batri hiyo itakusaidia kwanza hiyo Laptop yako haitakuwa na joto sana pili wakati umeme unapokatika ndipo utaitumia hiyo Batri yako na utaona inaweza

hata kuchukuwa masaa 2 bila kuisha na wakati unapokuja umeme utaiweka hiyo betri iwe ndani ya Laptop yako mpaka itakapo imejaa utaitowa tena na kuiweka kando utakuwa unatumia waya wa umeme mpaka hapo umeme utakapo katika tena waweza kutumia tena Betri huo ndio ushauri wangu.

Huo ushauri wako labda unawafaa wabongo walioko Ulaya na USA sabau kukatika kwa umeme ni tukuio la ajabu lakini kwa bongo ukitoa betri unaweza kucrush computer kwa unproper shutdown zinasazobabishwa na katika katika ya umeme mara kwa mara. Je ni bora kusave betrii computer ife?
 
Tatizo hilo lipo kwa Wabongo wengi hawajuwi kutumia Laptop. Nakushauri nenda dukani kanunue Betri mpya hiyo imesha kufa jambo la pili unapopata Betri mpya uiweke kwenye laptop yako kwa muda wa masaa kama 8 kisha uitowe ndani ya Laptop yako, kisha uwe unatumia Laptop pasipo na Batri hiyo itakusaidia kwanza hiyo Laptop yako haitakuwa na joto sana pili wakati umeme unapokatika ndipo utaitumia hiyo Batri yako na utaona inaweza hata kuchukuwa masaa 2 bila kuisha na wakati unapokuja umeme utaiweka hiyo betri iwe ndani ya Laptop yako mpaka itakapo imejaa utaitowa tena na kuiweka kando utakuwa unatumia waya wa umeme mpaka hapo umeme utakapo katika tena waweza kutumia tena Betri huo ndio ushauri wangu.
Nashukuru kwa ushauri
 
Tatizo hilo lipo kwa Wabongo wengi hawajuwi kutumia Laptop. Nakushauri nenda dukani kanunue Betri mpya hiyo imesha kufa jambo la pili unapopata Betri mpya

uiweke kwenye laptop yako kwa muda wa masaa kama 8 kisha uitowe ndani ya Laptop yako, kisha uwe unatumia Laptop pasipo na Batri hiyo itakusaidia kwanza hiyo Laptop yako haitakuwa na joto sana pili wakati umeme unapokatika ndipo utaitumia hiyo Batri yako na utaona inaweza

hata kuchukuwa masaa 2 bila kuisha na wakati unapokuja umeme utaiweka hiyo betri iwe ndani ya Laptop yako mpaka itakapo imejaa utaitowa tena na kuiweka kando utakuwa unatumia waya wa umeme mpaka hapo umeme utakapo katika tena waweza kutumia tena Betri huo ndio ushauri wangu.
Sasa kama unafanya kazi zako nahaujazisave bado na umeme ukakatika ghafla unafikiri utazipata wapi tena kama umetoa betri?Kila kitu kinatumiwa ili kife hamna kitu kitakachoishi milele tumia kikiisha nunua kingine.
 
Back
Top Bottom