Pole mkuu wanasumbua sana,iliwahi kunitokea,inafika mpaka mahali wanagombea kutagia sehemu hiyohiyo wakati kulikuwa na matundu kama sita,hata ukichukuwa mayai ukasamabaza kwenye matundu mengine wanataka hapohapo,nilichokuwa nafanya niliamua kuwaacha ila ikifika jioni nilikuwa naenda kuchukuwa mayai nawaachia moja,mpk ilipofikia wakati wa kulalia ndio nikaanza kuyagawa kwenye matundu mengine...