lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,382
Basi unakichwa kibovu..
Mbona jamaa kaeleza kwa kina sana..
Wewe ukitaka details zaidi..tafutaneni pvt
Mbona jamaa kaeleza kwa kina sana..
Wewe ukitaka details zaidi..tafutaneni pvt
Hata Mimi imenishangaza kidogo.
Namuuliza swali fupi analeta maelezo mengi,mara atume picha,mara atume video za wachina.
Kama picha na video hata Mimi Niko nazo kwa simu yangu na haiwezi kuwa kigezo Cha utaalamu wangu.