mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Kwa hiyo ukishaanzisha kitu hutakiwi kuulizwa? kunae shida kichwani mwako unasema tunaleta ujuaji wewe ndo mjuaji bila sababu, ulishindwa nini kumuulekeza aliekuuliza zaidi ya kuleta mbwembwe.Kazi kwani nalipwa?Ukiuliza kwa staha kuna shida gani?Nipanic sababu ya mtu nisiye mfahamu?either mimi ama wewe kuna mtu ana matatizo.
soma kabla hujabwabwaja.Nimeandika capacity ya machine mtu bado ananiuliza capacity.By the way huyo hajaanzisha uzi,all the information nilizoshare zilikuwa kwa ajili ya mwanzisha uzi na watu wenye lengo la kujifunza.Sio wanaojifanya wajuaji na hawajui kitu