Dreams LLC
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 449
- 513
Bilioni moja itatosha endapo majengo/magodowns tayari unayo.
Hii bilioni moja ni kwa ajili ya kununua mitambo tu tena ya wachina.
wewe ndo unajiita msomi na mtaalamu wa hizi kazi na unadanganya watu kuwa kiwanda cha maji kuanza lazima uwe na bilioni moja eti tena hiyo ni mitambo tu 😂 😂 .Sasa mimi nimekuwekea evidence ya complete system na ni dola 55,000 tu.Na sio hesabu za kufikirika ni mitambo ambayo ishakuja Tz na viwanda vinafanya kazi.(viwanda sio kiwanda😂😂)Hiyo hesabu ya viwanda vingapi hebu kadiria toka 2014 unadhani nimeleta complete system ngapi?🤣🤣Kama hufahamu kitu kiongozi kuwa mpole uelekezwe.Maisha ni uhalisia na sio nadharia