Don Billionea
Senior Member
- Jul 15, 2018
- 150
- 193
Habari wanaJF, mimi ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijali sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya basi nawahi dawa za PrEP.
Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.
Nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, hivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. Sasa mwezi Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na huwa tunacheki afya, sasa mwezi huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwezi May nikamla then maisha yakaendelea.
Mwezi Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano hapo hapo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.
Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's hadi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. Next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...
Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha hili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jamani waungwana kuna yeyote mwenye hakika na hili jambo hata ndugu yake alipata kupona kwa huyu docta maana kichwa kinawaka sahizi sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).
Wajameni hivi ili suala lina ukweli dawa hiyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii hata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana nina wiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakini nahisi hali ya kuzichoka tayari.
Nawasilisha:
Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.
Nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, hivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. Sasa mwezi Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na huwa tunacheki afya, sasa mwezi huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwezi May nikamla then maisha yakaendelea.
Mwezi Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano hapo hapo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.
Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's hadi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. Next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...
Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha hili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jamani waungwana kuna yeyote mwenye hakika na hili jambo hata ndugu yake alipata kupona kwa huyu docta maana kichwa kinawaka sahizi sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).
Wajameni hivi ili suala lina ukweli dawa hiyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii hata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana nina wiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakini nahisi hali ya kuzichoka tayari.
Nawasilisha: