Msaada: Atakayefanikisha hili namlipa USD 100

Msaada: Atakayefanikisha hili namlipa USD 100

Jaribu kurudia process kutumia device ileile ambayo google imeizoea. Ukibadilisha device, ip address au wifi network inakuwa tatizo.
 
Ip address ambazo zinakuwa assigned tunapotumia hivi vifurushi ni Dynamic kwa maana ukizima data ukiwasha tena utakuta ile ip ashapewa mwingne nawe unapewa nyingine, hivyo not aaplicable
Jaribu kurudia process kutumia device ileile ambayo google imeizoea. Ukibadilisha device, ip address au wifi network inakuwa tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajaribu ku delete cookies zote ikiwezekana afanye uninstall and then fresh install ya browser
 
Habari wakuu,

Nimepata tatizo ambalo kimsingi sio kubwa sana na pia sio dogo sana, ni la wastani. Lakini kwa wahusika ni jepesi sana, linaweza tumia dakika 1 kuwa solved.

Ipo hivi: Nina Gmail account yangu ambayo huwa naitumia katika shughuli zangu muhimu sana siku moja nikatumiwa verification code za kureset password bila ya Mimi kureset password nikashtuka nilichofanya nika-change password haraka haraka, tatizo ndipo liliponikuta.

Nikaitumia kama week moja mbele jambo la kushangaza siku moja naingia nikakuta imeji-logout yenyewe nikajisemea haina shida nita-login upya, sasa mzozo ukaja kwenye password -- niliyoiweka mpya siikumbuki.

Ikumbukwe hii account ina recovery phone number yangu ambayo ninayo. Nikajaribu kureset verification code zinafika lakini inagoma ku-reset. Wananiambia niweke Gmail ambayo wata-contact na mimi later na nikiweka Gmail wananiambia wanashindwa ku-verify kama account ni yangu

Tatizo hili limenitokea toka October lakini hadi leo nimeshindwa kuirejesha na naihitaji sana. Nimejaribu kufatilia kwa Wana IT wa Tz lakini wapi; na katika pitapita zangu katika support forum yao wanasema account kila ikiendelea kujaribiwa ku-reset ni sawa sawa pingu kila unavyojaribu kuitoa ndio inazidi kukaza.

Nimeshajiunga vifurushi vya kimataifa kama vya USA,Canada, UK na vya nchi nyingine ili niweze kuwapigia customer care katika nchi hizo lakini hawapokei; nimeambulia hola! Leo pia nimejiunga na vifurushi vya Kenya kupiga customer service ya Kenya lakini hawapokei.

Jambo nililofikiria kutembelea Google House kwa East Africa ipo Kenya na Kenya kwenda ndio hadi passport hizi mpya za kielectroniki na mimi nina zile za zamani. Nikifikiria kuanza ku-apply passport muda unazidi kwenda sana nahitaji kwa siku mbili tatu hizi.

Ombi langu kwa mtu yoyote ambaye yupo Kenya au nchi nyingine ambaye anaweza kunisaidoa kutembelea tawi la Google na kuniwakilisha nitampa kiasi tajwa hapo juu kama Asante njia za malipo PayPal, Bitcoin au Payoneer.

NOTE: SIHITAJI MTU WA KUIRESET YEYE MWENYEWE BILA KUTEMBELEA GOOGLE AU KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEWAHI KUWASILIANA NA GOOGLE UNAWEZA NISAIDIA NJIA ULIYOTUMIA KUWASILIANA NAO PIA KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEPATA TATIZO KAMA LANGU NA KULISOLVE NAOMBA MSAADA





Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unatuchosha tu,unataka account yako iwe okay au unataka twende google kwa ajili yako,pia kwenda kenya hata temp pass ya karatasi unatumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana bado tu hajafanikisha swala lake la account ya Gmail mnafanya nn ss msa wote huo
 
Habari wakuu,

Nimepata tatizo ambalo kimsingi sio kubwa sana na pia sio dogo sana, ni la wastani. Lakini kwa wahusika ni jepesi sana, linaweza tumia dakika 1 kuwa solved.

Ipo hivi: Nina Gmail account yangu ambayo huwa naitumia katika shughuli zangu muhimu sana siku moja nikatumiwa verification code za kureset password bila ya Mimi kureset password nikashtuka nilichofanya nika-change password haraka haraka, tatizo ndipo liliponikuta.
Hapa means kuna mtu mlikuwa mna share nae Gmail bila wewe kujua,na hii ilikua attempt yake kubadilisha password
Siwezi kusema ni hacker inawezekana na mtu wako wa karibu uliyempa access ya Gmail yako ama uliwahi kufungua Gmail yako kupitia device yake
Ikumbukwe hii account ina recovery phone number yangu ambayo ninayo. Nikajaribu kureset verification code zinafika lakini inagoma ku-reset. Wananiambia niweke Gmail ambayo wata-contact na mimi later na nikiweka Gmail wananiambia wanashindwa ku-verify kama account ni yangu
Hapa tayari yupo na full controll katika Gmail yako


Ombi langu kwa mtu yoyote ambaye yupo Kenya au nchi nyingine ambaye anaweza kunisaidoa kutembelea tawi la Google na kuniwakilisha nitampa kiasi tajwa hapo juu kama Asante njia za malipo PayPal, Bitcoin au Payoneer.

NOTE: SIHITAJI MTU WA KUIRESET YEYE MWENYEWE BILA KUTEMBELEA GOOGLE AU KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEWAHI KUWASILIANA NA GOOGLE UNAWEZA NISAIDIA NJIA ULIYOTUMIA KUWASILIANA NAO PIA KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEPATA TATIZO KAMA LANGU NA KULISOLVE NAOMBA MSAADA
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa ndio kulipo washinda watu
Unataka ku reset Gmail yako au unataka watu waende Office za Google kwa ajiri yako?
Kama unataka ku reset Gmail yako ni simple ila kama unataka wakenya wakuwakilishe Ungeandika huu uzi Kenya forum[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom